Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kweli wakati ukuta, Ronaldo amefikia hatua ya kukataliwa na team karibia zote.

Hakuna atakayesalia chini ya jua, Mungu kweli ametuweza.
Messi kaamua kutulia na kustaaf kiheshima hana maneno maneno wala nn
 
Messi kaamua kutulia na kustaaf kiheshima hana maneno maneno wala nn
Ronaldo lazima kichwa kiume mwenzake yupo timu ambayo ina uhakika wa kombe kila msimu na ina kikosi ambacho kina nafasi kubwa kubeba UCL.

Messi akitulia kule Ligue 1 ataweka rekodi nyingi sana. Ronaldo anajua mpaka sasa kaingia cha kike kurudi Old Trafford.

New challenge imekuwa challenge kweli halafu anataka kukimbia.
 
mufc are in talks with Tom Huddlestone over a role at the club where he will be playing with the U21 team.

At age 35, he will be allowed to play as an over-aged player in PL2 matches, with clubs allowed five over-aged outfield players and one goalkeeper.
 
Mshike mshike ndege tunduni 😊😊😊 aende hata Porto tuu
 
Dalot na AWB hamna mwenye nafuu..

Ila yule AWB wa msimu wa kwanza atleast alikuwa kisiki..one two hizi alikuwa haachwi kibwege na blocks alikuwa anazifanya sana.. sijui amepatwa na nini.

Tunahitaji some improvements on RB..
Msimu wa kwanza AWB alikuwa vizuri, labda atarudi kwa vile kocha mpya ngoja tumpe muda ila ule upande bado hatuna mtu wa maana pale
 
United wamekua na matamanio ya muda mrefu kwa Rúben Neves kwasababu ya mtindo wake wa kupiga pasi ndefu, jinsi anavyoumiliki mchezo na hatari yake kwenye kufunga magoli. #MUFC [@MelissaReddy_]
 
United wamekua na matamanio ya muda mrefu kwa Rúben Neves kwasababu ya mtindo wake wa kupiga pasi ndefu, jinsi anavyoumiliki mchezo na hatari yake kwenye kufunga magoli. #MUFC [@MelissaReddy_]
Huyu cocha hataki long passes.
 
Ferguson alifuata nini Carrington siku ile?

Sahivi namchukia Ronaldo kuliko mchezaji yeyote ulimwenguni.

Ten Hag asiposimama kidete msimu huu atafeli kwasababu ya ronaldo.
Mctominay na fletcher wote sababu ya ferguson bora ronaldo ana msaada
 
My fellow United fans, where are these days!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…