Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mshike mshike ndege tunduni 😊😊😊 aende hata Porto tuu
 
Dalot na AWB hamna mwenye nafuu..

Ila yule AWB wa msimu wa kwanza atleast alikuwa kisiki..one two hizi alikuwa haachwi kibwege na blocks alikuwa anazifanya sana.. sijui amepatwa na nini.

Tunahitaji some improvements on RB..
Msimu wa kwanza AWB alikuwa vizuri, labda atarudi kwa vile kocha mpya ngoja tumpe muda ila ule upande bado hatuna mtu wa maana pale
 
United wamekua na matamanio ya muda mrefu kwa Rúben Neves kwasababu ya mtindo wake wa kupiga pasi ndefu, jinsi anavyoumiliki mchezo na hatari yake kwenye kufunga magoli. #MUFC [@MelissaReddy_]
 
United wamekua na matamanio ya muda mrefu kwa Rúben Neves kwasababu ya mtindo wake wa kupiga pasi ndefu, jinsi anavyoumiliki mchezo na hatari yake kwenye kufunga magoli. #MUFC [@MelissaReddy_]
Huyu cocha hataki long passes.
 
Ferguson alifuata nini Carrington siku ile?

Sahivi namchukia Ronaldo kuliko mchezaji yeyote ulimwenguni.

Ten Hag asiposimama kidete msimu huu atafeli kwasababu ya ronaldo.
Mctominay na fletcher wote sababu ya ferguson bora ronaldo ana msaada
 
My fellow United fans, where are these days!!
 
Ronaldo vipi, bado mnamtaka? Sisi Chelsea tunamtaka tupeni basi bure? futeni mkataba wake ili awe huru kama Barca walivyomfanyia Depay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…