Mtu mzima kutukanwa na mtoto mdogo anayeishi kwa wazazi wake inakera sana.
Mbona nimendownload hii man u app lkn inatuma matokeo tuu Mimi nataka live Mkuu.MUTV, kupitia Man Utd App pamoja na StarTimes decoder & StarTimes App.
Hapa kwann hawakumpa Ronald u capten??Wachezaji walio cheza jana naona hapa ni mmoja tu eriksen wengine naona wana pumzikaView attachment 2310128
Tukiongea tunaonekana sisi tuna ishu personal na Ronaldo..Ronaldo auzwe tu hizi sasa ni dharau kwa wachezaji wenzake, mashabiki na timu kwa ujumla. Sababu ipi ya msingi imemfanya aondoke uwanjani kabla mechi haijaisha?View attachment 2310262
Anajiona mwamba imaraRonaldo auzwe tu hizi sasa ni dharau kwa wachezaji wenzake, mashabiki na timu kwa ujumla. Sababu ipi ya msingi imemfanya aondoke uwanjani kabla mechi haijaisha?View attachment 2310262
Moriinho kasemaje"Lakini inaonekana bodi ya Man united haiko serious na usajili katika timu yao ni kama wanajaribu kubahatisha bahatisha."
Hapo ndiyo tatizo kubwa la United lilipo, shida kubwa inaanzia kwa wamiliki wao ndiyo walitengeneza mfumo wenye watu wasiojua mambo mengi kuhusu football. Watu hao ndiyo wakanunua wachezaji wengi wenye uwezo mdogo wengine wakaletwa kwasababu za kibiashara tu, wengine wala hayakuwa mahitaji ya makocha waliopita. Hayo yote ndiyo yametufikisha hapa tuna kikosi kimejaa majina tu. Hawa wachezaji ndiyo wanatutesa kwasababu hawauziki na hatuwezi kusajili bila kupunguza idadi ya wachezaji tulionao.
Na bado hiyo haitoshi wamiliki hawaweki pesa kwenye timu, wao wanachota tu faida. Msimu huu tumepata kocha mwenye malengo ya kueleweka lakini bado support ya wamiliki ni hamna kitu.
Hata hili la Ronaldo kubaki nina uhakika ni maelekezo kutoka juu, Ronaldo ni brand inayowasidia Glazers kutunisha mfuko. United siyo timu inayofanya cha maana uwanjani lakini bado inafamya vizuri kibiashara kwasababu ya akili wanayotumia Glazers kuliteka soko la mashabiki wa United.
Siku Glazers wakiondoka ndiyo itakuwa mwanzo mpya wa Manchester United. Mimi nimeshachoka kulaumu wachezaji, huu ndiyo uwezo wao walionao sisi tunataka wafanye kama thamani ya pesa tuliowanunulia ila hawa ni average players tukubali tu hali hilisi. Ila rebuild chini ya Glazers itakuwa ni kutwanga maji kwenye kinu.
Maneno ya Mourinho na Van Gaal yataishi milele.
Muda Bado Aondoke. Namlaumu Sana Ferguson. Ndiyo mujaribufu mkubwaHapo anwafundisha nn vijana huyu ndo anatuharibia team ,watu waliokuwa wanampinga walikuwa na sababu muhimu sana.
Kwa sasa aende tu ukizingatia hakuna alichobadilisha katika team ,hana mapenzi tena na club japokuwa mashabiki wanampenda
Kajinga tuKijamaa ni kibinafsi sijapata kuona.
Atafeli mapema sana na huyu Ronaldo...ilibidi akomae aletewe straika mapema.Ferguson alifuata nini Carrington siku ile?
Sahivi namchukia Ronaldo kuliko mchezaji yeyote ulimwenguni.
Ten Hag asiposimama kidete msimu huu atafeli kwasababu ya ronaldo.
Anatuangusha sn watu tulio nyuma yake tukimpigania kwa hali zote, anatunyima maneno ya kuongea mbele ya wabaya wake. Ni mpumbavu.Kajinga tu
Mara 100 hawa strikers tulionao kuliko huyo Ronaldo.Atafeli mapema sana na huyu Ronaldo...ilibidi akomae aletewe straika mapema.
Hadi tunaitwa wapumbavu asee.Tukiongea tunaonekana sisi tuna ishu personal na Ronaldo..
Finally Boss, tushasema hatuna tatizo ya yeye kufunga, tatizo yeye yeye kila kitu hadi timu inakosa kucheza kitimu.Anatuangusha sn watu tulio nyuma yake tukimpigania kwa hali zote, anatunyima maneno ya kuongea mbele ya wabaya wake. Ni mpumbavu.
Acha tu, ukute mechi ya Brighton atakuwepo na atataka kila chance apige yeye kule golini.Mara 100 hawa strikers tulionao kuliko huyo Ronaldo.
Mchezaji amerudi juzi, leo anataka apangwe.
Na juzi alikuwa anataka kuondoka.
Glazers wanaiua hii club.
WTF is Ferguson doing in Man Utd?
#Bado hajafukuzwa tu🤣🤣Jamani tunatengeneza mfumo kwanza hayo mengine ni baadae