D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,646
- 121,057
Wamekatwa mishahara kwasababu hatujafuzu UCL. Hiyo ipo kwenye mkataba na inajulikana, labda wewe hufahamu.Point yangu ni kwamba Ten hag alisema hatoentertain big price signing. alikuwa anamaanisha bei gani?
Pili, hajapewa blank cheque, kapewa Badget, very limited ndio maana tunaona speed na namba ya wachezaji wanaosajiliwa na watakaoishia kusajiliwa, sasa unaoperate under such a limited budget, bado £85M inaendelea kuwa hela ya kawaida?
ukumbuke Man utd hii inahitaji kuwa overhauled? at least wachezaji saba wanapaswa kuwa replaced kwenye first timu yetu? tunaweza fanya hivyo kwa bei za namna hiyo?
kuna taarifa, wachezaji wote wamekatwa mishahara between 20-30%, maana ake hatuko vizuri kifedha, sasa inakuwaje tutoe hela ndefu namna hiyo?
Kama huku wachezaji wanakatwa mishahara tunamng'angania de jong wa nini wakati ishajulikana hayuko tayali kupunguzwa mshahara huko aliko? we want to make him the highest paid?
bei ya kwanza ya de jong ilikuwa pound 55, mi nilijua imeongezwa kufikia pound 85 sababu baca wameomba wapewe na hela ya kumlipa madeni yake, kumbe sio, sasa bei imepanda kwa msingi gani?
Man Utd wangemwambia anunue mkataba wake waachane nae kwa amani.Mbona ishu ni simple tu jamani mbona tunagandana na huyu mtu mbinafsi?..ni kutemana nae fasta tu..
EtH akimweka kwenye mipango yake nitamdharau sana
Hakuna fahari yoyote kuangalia mechi na Ronaldo akiwemo kikosini.View attachment 2306911
Maana yake ni mkubwa kuliko timu yenu, hamuwezi afford kumpoteza, ndio maana mmechutama na kupiga magoti hamtaki aondokeMtu Kwenye Tour Hakushiriki, Mazoezini Pia Hashiriki, Ana Kazi Ya Kukaa Vikao Tu Wanini Huyu? Asepe Tu..
Ni mkubwa kuliko timu yenu, hamna uwezo wa kumfanya chochote hajaja kwenye tour yenu na haendi huko oslo! Kizazi jeuri cr7[emoji23]Man Utd wangemwambia anunue mkataba wake waachane nae kwa amani.
Haya mengine ni kujishushia heshima kama club.
Maana yake ni mkubwa kuliko timu yenu, hamuwezi afford kumpoteza, ndio maana mmechutama na kupiga magoti hamtaki aondoke
Wapo chini ya 10Hg sasa hivyo acha kukalili ukadhani ni zama za mbwatukaji Ralf rangnick... wapo kwenye mikono salama now watakushangaza sana...Bado wiki moja ligi ianze
Wan bisaka, shaw, rashford, martial, Fred, mactominay, cr7
Bado wanatambulika kama wachezaji wenu. HAMPO SERIOU
Kuna tetesi 10hag anamtaka kwenye team kipind hiki wakati bado shauri lake halijatolewa uamuzi mahakamani.. pia tetes nyingine ni kuwa greenwood anaendelea kupewa mazoez ya pekeyake chini ya maelekezo ya 10HagHivi kesi ya Greenwood inaendaje...?
Huyu director mf, ashow off Likitambi la nerd watu tucheke [emoji16][emoji16]Oliver kahn has spoken. View attachment 2306544
Hehehe unajidanganya wewe, kubalini ombi lake la kuvunja mkataba by mutual consent uone kama sekunde 2 mbele hajatangazwa na bayern au chelsea! U buying into these rubbish the media post, who doesnt want a goal machine into their team!Timu ipo inamtaka? Unafikir wao wajinga waseme hawamtak halafu wapate hasara? Kila mchezaj huwa hauzwi au kumtakiwa kwamba hatakiwi ukifanya hivyo unaharibu biashara unafikir ingeenda ofa wangemzuia?