KwendraaaaKuna man u ya pre season na man u ya eplakili kichwani mwako
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Anatafutiwa magoli hafu anakosa kiboya (kama uliangalia kila mechi msimu uliopita utakubaliana nami).Tunao mkataa ronaldo msitubeze wengine tunapenda kuona kila mchezaji ana funga kama tuna vyoona hivi kwenye mechi za maandalizi ya msimu.
Sasa akiwepo ronaldo wachezaji wana muangaikia yeye tu sio kwamba hatu mpendi ronaldo ila kwa sasa hakae pembeni tu tujenge timu ya vijana.
United ishajifia ,katafute team za Europa huko sijui spatikomosiko ndio ushindane nazo mzeeDj waLete fdj, Martinez ukifanya na Anthony sio mbaya harafu walete hao liverkuku Tena.
Umenikumbusha hawa jamaaUnited ishajifia ,katafute team za Europa huko sijui spatikomosiko ndio ushindane nazo mzee
@Pain killerUmenikumbusha hawa jamaa
View attachment 2291688
Au sjui ligi ianzee tuUnited ishajifia ,katafute team za Europa huko sijui spatikomosiko ndio ushindane nazo mzee
Naona eriksen Sasa mnaenda kua kidney zake baada ya ugonjwa wake wa muda mrefu ....@Pain killer
Hahaaa hao hawana hata uwezo wa kusogea dressing room ya city ,..Umenikumbusha hawa jamaa
View attachment 2291688
huyu mjinga sitaki hata kumsikia, aliharibu bilihani la 21/22 vibaya sana kwasababu ya maamuzi mabovu ya shortsighted fans and management.Tunao mkataa ronaldo msitubeze wengine tunapenda kuona kila mchezaji ana funga kama tuna vyoona hivi kwenye mechi za maandalizi ya msimu.
Sasa akiwepo ronaldo wachezaji wana muangaikia yeye tu sio kwamba hatu mpendi ronaldo ila kwa sasa hakae pembeni tu tujenge timu ya vijana.
Sidhani kama ataenda kama ilivyo kwa Lisandro. Kule ni mbali sana inachukua masaa 20+ kufika ukitokea Uingereza au Denmark.Aende Australia sasa
OGS ndiyo alimleta Maguire. Lile goli la leo ni poor marking. Hakuna beki aliyekuwa kwenye position.Kwa hiyo mko na uhakika kabisa kuwa magwaya anauweoz wa kumzuia Alvarez na halaand wasifunge goli hapo OT?
Kwa hiyo mko na uhakika kabisa kuwa magwaya anauweoz wa kumzuia Alvarez na halaand wasifunge goli hapo OT?
Hilo komwe Kama pilipili hoho umetulia kwenye sofa kwa shemeji yako na hujishitukii ..!!Wewe MBWA rudi bandani!