Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunao mkataa ronaldo msitubeze wengine tunapenda kuona kila mchezaji ana funga kama tuna vyoona hivi kwenye mechi za maandalizi ya msimu.

Sasa akiwepo ronaldo wachezaji wana muangaikia yeye tu sio kwamba hatu mpendi ronaldo ila kwa sasa hakae pembeni tu tujenge timu ya vijana.
 
Anatafutiwa magoli hafu anakosa kiboya (kama uliangalia kila mechi msimu uliopita utakubaliana nami).
 
huyu mjinga sitaki hata kumsikia, aliharibu bilihani la 21/22 vibaya sana kwasababu ya maamuzi mabovu ya shortsighted fans and management.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…