Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,478
Ila bado tupo ki Nchi zaidi, mechi ikichezwa Kinshasa tu hapo pengine asiende mbongo hata mmoja.Mkuu Afrika tuko 1.2B sema umasikini ndio kikwazo kwenye hili.
Nimekuelewa kiongoziIla bado tupo ki Nchi zaidi, mechi ikichezwa Kinshasa tu hapo pengine asiende mbongo hata mmoja.
Thailand sio kwamba ni Matajiri kivile, wangekuepo Africa pengine hata Top 10 wasingeingia, ila wenzetu wanajitahidi kuvunja mipaka, Hapo south east Asia wote inawahusu.
Kuna mwaka Everton walikuja Bongo wakalishwa vitumbua na chai ya rangi kama kifungua kinywa.
Umetia chumvi kiongozi, watu kama hao hupewa escort bana. Hakuna cha foleni. Sema tu umasikini tele.Pia walikutana na folen ya hatari ,Rooney alilalamika Sana, fikiria folen za tazara zile, Africa miundombinu Sifuri, Timu za ulaya zinapenda kuja huku, tatizo hatujajipanga
Hiyo miaka yote mliyokaa bila kombe tatizo lilikuwa ni nani? Kubalini mna liteam libovu tu na sio kuwa mnatafuta wa kulaumu kila msimu ukiisha.Nashangaa watu wanabisha kwamba ronaldo sio tatizo pale united.
Wacha tuone jinsi Cristiano Ronaldo alivyoharibu usawa wa timu ya Manchester United:
Jumla ya mabao ya Man United msimu uliopita - 121Jumla ya mabao ya Man United msimu huu - 71
Bruno Fernandes msimu uliopita - mabao 28Bruno Fernandes msimu huu - mabao 9
Marcus Rashford msimu uliopita - mabao 21Marcus Rashford msimu huu - mabao 5
Cavani msimu uliopita - mabao 17Cavani msimu huu - mabao 2
Man United msimu uliopita - washindi wa pili wa PLMan United msimu huu - Nje ya UCL Msimu uliopita Manchester United ilicheza kama timu na kila mchezaji alikuwa na jukumu muhimu.
Lakini msimu huu kazi yao pekee ni kumlisha Ronaldo. Ronaldo anapojiunga na timu kila mtu anamchezea na anaharibu kemia ya timu ili aweze kukidhi takwimu zake binafsi. Ndivyo ilivyotokea kwa Juventus.Mashabiki wa Ronaldo wangesema kwamba Ronaldo anapenda changamoto na ndiyo maana anabadilisha ligi lakini changamoto ya kweli inapokuja, anakimbia. Alikimbia kutoka Juve kwenda Man Utd baada ya kuwapeleka karibu Europa, karibu kuikimbia Man Utd sasa kwa sababu walianguka kwenye Ligi ya Europa.
Mkuu acha kukaza fuvu toka 2013 kuna msimu tumekuwa wabovu kama huu??Hiyo miaka yote mliyokaa bila kombe tatizo lilikuwa ni nani? Kubalini mna liteam libovu tu na sio kuwa mnatafuta wa kulaumu kila msimu ukiisha.
Mlianza na De gea kuwa anaifelisha team, baadae Lukaku, Pogba kisha akaja Rashford..Maguire..mkahamia kwa Fred, Martial..oooh Greenwood mchoyo anaifelisha team...oooh Bissaka hajui kutoa cross anaifelisha team...oooh Mc Tominay anazingua.....mara OLE OUT... Leo hii imefika zamu ya CR7.
Ilimradi tu mtafute kichaka cha kujifichia, sasa kama wachezaji wote mmewahi kuwalalamikia kuna team hapo? Pale Utd hakuna player hata mmoja aliyedumu kwenye kiwango chake ambaye unaweza kusema hata ni player wa maana (kama kwenye team nyingine kubwa) wote ni wa kuungaunga...kuna team hapo??
Tafuteni kiini cha tatizo na sio kupoint mchezaji mmojammoja, siku si nyingi mtaanza kutafuta mwingine wa kulaumu kwakua najua kombe hatupati hata moja na wala topfour hatingii tena msimu ujao.
Wachezaji wa cku hz hawana mapenzi na timu wanataka pesa. Hakuna mchezaji wa kizazi atakataa kuchezea utd sema wameweka tamaa ya pesa mbele wakichagizwa na mawakala wao.Sasa Huyo De Jong Hana Mapenzi Na United.
Michezaji ya hovyo bado ipo mingi sn utd, na tunayo mpk itazeeka hapo cz hayauziki.Hichi ndo kikosi kilicho safiri leo kwenda Bangkok ndugu yenu mnae mkomalia naona hayupo.
Kuhusu jones kutokuwepo nadhani mnaelewa ile ni deep state ya Manchester united.View attachment 2284662
Hivi unamuonaga huyu Eth ana Bichwa kama Baba ubaya?Unyama unyama.View attachment 2285224
Yupo serious sana huyu jamaa.Hivi unamuonaga huyu Eth ana Bichwa kama Baba ubaya?
Kila mtu anafata chake, hela muhimu ila kuna Factor nyingine pia. Sisi tunalipa mishahara kibao ila wachezaji wengi wa South America hawataki UTD sababu ya hali ya hewa, wanakimbilia Spain huko. Wengine wanafuata style fulani ya uchezaji, wengine wanasikiliza mademu zao etc.Wachezaji wa cku hz hawana mapenzi na timu wanataka pesa. Hakuna mchezaji wa kizazi atakataa kuchezea utd sema wameweka tamaa ya pesa mbele wakichagizwa na mawakala wao.
Hii ilikuwa zamani mkuu sio sasa.Kila mtu anafata chake, hela muhimu ila kuna Factor nyingine pia. Sisi tunalipa mishahara kibao ila wachezaji wengi wa South America hawataki UTD sababu ya hali ya hewa, wanakimbilia Spain huko. Wengine wanafuata style fulani ya uchezaji, wengine wanasikiliza mademu zao etc.
Mfano De gea anaipenda sana UTD ila sababu kubwa ya Kutaka kurudi spain ni Demu wake, di maria haipendi Manchester pamoja na Familia yake, Lukaku Huyo kaacha mahela kibao Uingereza karudi Italy sababu mfumo haumfai, Lingard timu kibao zinamtaka ikiwemo westham wanataka kumpa hela Ndefu kuliko anayoipata UTD, ila anaenda MLS sababu anaona lifestyle ile inamfaa akakuze Jlingz brand etc.Hii ilikuwa zamani mkuu sio sasa.
Hichi ndo kikosi kilicho safiri leo kwenda Bangkok ndugu yenu mnae mkomalia naona hayupo.
Kuhusu jones kutokuwepo nadhani mnaelewa ile ni deep state ya Manchester united.View attachment 2284662
Sikazi fuvu ila ukweli ndo huo mkuu, hakuna msimu hata mmoja ambayo mliwahi kukaa na kuevaluate mapungufu ya team kwa ujumla, badala yake ni mabingwa kupoint mchezaji mmoja mmoja na kumuona kama aliyefelisha team nzima.Mkuu acha kukaza fuvu toka 2013 kuna msimu tumekuwa wabovu kama huu??
Na hapo ndipo failure ya Man Utd inapoanzia, katika team kubwa zote ulaya Utd ndio team pekee ambayo ina wachezaji wengi wa hovyo wasiouzika. Fikiria kwenye first eleven yetu hakuna mchezaji yeyote aliyewahi kuonyesha outstanding perfomance angalau kwa nusu msimu tu (achilia mbali msimu mzima). Hapa niataja wote na wale ambao waliondoka:-Michezaji ya hovyo bado ipo mingi sn utd, na tunayo mpk itazeeka hapo cz hayauziki.
Hata ingekuwa mimi nisingependa kukaa wala kufanya kazi Manchester.Kila mtu anafata chake, hela muhimu ila kuna Factor nyingine pia. Sisi tunalipa mishahara kibao ila wachezaji wengi wa South America hawataki UTD sababu ya hali ya hewa, wanakimbilia Spain huko. Wengine wanafuata style fulani ya uchezaji, wengine wanasikiliza mademu zao etc.