Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu Afrika tuko 1.2B sema umasikini ndio kikwazo kwenye hili.
Ila bado tupo ki Nchi zaidi, mechi ikichezwa Kinshasa tu hapo pengine asiende mbongo hata mmoja.

Thailand sio kwamba ni Matajiri kivile, wangekuepo Africa pengine hata Top 10 wasingeingia, ila wenzetu wanajitahidi kuvunja mipaka, Hapo south east Asia wote inawahusu.
 
Nimekuelewa kiongozi
 
Hiyo miaka yote mliyokaa bila kombe tatizo lilikuwa ni nani? Kubalini mna liteam libovu tu na sio kuwa mnatafuta wa kulaumu kila msimu ukiisha.

Mlianza na De gea kuwa anaifelisha team, baadae Lukaku, Pogba kisha akaja Rashford..Maguire..mkahamia kwa Fred, Martial..oooh Greenwood mchoyo anaifelisha team...oooh Bissaka hajui kutoa cross anaifelisha team...oooh Mc Tominay anazingua.....mara OLE OUT... Leo hii imefika zamu ya CR7.

Ilimradi tu mtafute kichaka cha kujifichia, sasa kama wachezaji wote mmewahi kuwalalamikia kuna team hapo? Pale Utd hakuna player hata mmoja aliyedumu kwenye kiwango chake ambaye unaweza kusema hata ni player wa maana (kama kwenye team nyingine kubwa) wote ni wa kuungaunga...kuna team hapo??

Tafuteni kiini cha tatizo na sio kupoint mchezaji mmojammoja, siku si nyingi mtaanza kutafuta mwingine wa kulaumu kwakua najua kombe hatupati hata moja na wala topfour hatingii tena msimu ujao.
 
Mkuu acha kukaza fuvu toka 2013 kuna msimu tumekuwa wabovu kama huu??
 
Jiulize kwanini kabla ajaja ronaldo Fernandez alianza ligi wa moto sana mpaka mechi ya kwanza tu kapiga 3 kwanini aje ronaldo tu mambo yaanze kuyumba.

Sio kwamba atumpendi ronaldo ila tunaomba hatupishe tu kwasasa tutengeneze timu ya vijana wadogo.

Kama una mahaba na ronaldo hata uko haendako uta mshabikia tu usiwaze.

Maaba tuweke pembeni ronaldo hatufai.
 
Wachezaji wa cku hz hawana mapenzi na timu wanataka pesa. Hakuna mchezaji wa kizazi atakataa kuchezea utd sema wameweka tamaa ya pesa mbele wakichagizwa na mawakala wao.
Kila mtu anafata chake, hela muhimu ila kuna Factor nyingine pia. Sisi tunalipa mishahara kibao ila wachezaji wengi wa South America hawataki UTD sababu ya hali ya hewa, wanakimbilia Spain huko. Wengine wanafuata style fulani ya uchezaji, wengine wanasikiliza mademu zao etc.
 
Hii ilikuwa zamani mkuu sio sasa.
 
Hii ilikuwa zamani mkuu sio sasa.
Mfano De gea anaipenda sana UTD ila sababu kubwa ya Kutaka kurudi spain ni Demu wake, di maria haipendi Manchester pamoja na Familia yake, Lukaku Huyo kaacha mahela kibao Uingereza karudi Italy sababu mfumo haumfai, Lingard timu kibao zinamtaka ikiwemo westham wanataka kumpa hela Ndefu kuliko anayoipata UTD, ila anaenda MLS sababu anaona lifestyle ile inamfaa akakuze Jlingz brand etc.
 
Mkuu acha kukaza fuvu toka 2013 kuna msimu tumekuwa wabovu kama huu??
Sikazi fuvu ila ukweli ndo huo mkuu, hakuna msimu hata mmoja ambayo mliwahi kukaa na kuevaluate mapungufu ya team kwa ujumla, badala yake ni mabingwa kupoint mchezaji mmoja mmoja na kumuona kama aliyefelisha team nzima.

Huko nyuma mmewahi kuwalaumu akina de gea, Lukaku, Pogba, Bissaka, Tominay, Maguire,Fred, OLE baada ya hapo mkahamia kwa waingereze na sasa ni Ronaldo.

Sasa kama kikosi chote mmewahi kukilalamikia kwanini usikubali kuwa tuna wachezaji avarage, na kwamba hiyo ndio sababu ya kufeli kwetu sikuzote?

Mpaka sasa hata tukimtoa Ronaldo, bado hakuna uhakika wa kutoboa top four wala kuchukua kombe lolote.

TUKUBALI TU KUWA TUNA TEAM AVARAGE NA TUANZE KUJIJENGA UPYA.
 
Michezaji ya hovyo bado ipo mingi sn utd, na tunayo mpk itazeeka hapo cz hayauziki.
Na hapo ndipo failure ya Man Utd inapoanzia, katika team kubwa zote ulaya Utd ndio team pekee ambayo ina wachezaji wengi wa hovyo wasiouzika. Fikiria kwenye first eleven yetu hakuna mchezaji yeyote aliyewahi kuonyesha outstanding perfomance angalau kwa nusu msimu tu (achilia mbali msimu mzima). Hapa niataja wote na wale ambao waliondoka:-

De gea
Maguire
Bissaka
Shaw
Tominay
Lukaku
Fred
Rashid
Lingard
Martial
 Greenwood
Lindelolf ....nk

Haya atokee yoyote hapo anionyeshe mchezaji yeyote yule alitumikia Man Utd kwa level yenye kujipambanua, zote takataka kabisa.


Hatuna team hapo kuanzia backline, midfilders na stikers eti tunategemea akina Rashid na Martial😂😂😂

Kombe haliji kizembe wakuu.







 
Hata ingekuwa mimi nisingependa kukaa wala kufanya kazi Manchester.

Hali ya hewa ya pale ni mbaya mno kwa waliozoea kukaa maeneo ya joto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…