Mike verweij (tier 1 kwa habari za :ajax) anasema : man utd wameongeza ofa yao kufikia euro million 50 na bonus kwa ajili ya lisandro martinez. Fahamu ajax wakiongozwa na mtendaji wao mpya klaas jan huntelaar waliwaambia arsenal na man utd ya kwamba mchezaji husika ana thamani ya euro million 50 na si vyenginevyo. Tujiandae na here we go?
Kwanini timu za ulaya haziji Africa kufanya pre season.
Nini tatizo Ukata, au miundombinu mbona South Africa, Algeria, Egypt zipo vizuri, hakuna cha ukata timu zikija zinajaza kweli na mzuka juu tena kuliko huko Asia.
Kwanini timu za ulaya haziji Africa kufanya pre season.
Nini tatizo Ukata, au miundombinu mbona South Africa, Algeria, Egypt zipo vizuri, hakuna cha ukata timu zikija zinajaza kweli na mzuka juu tena kuliko huko Asia.
Mauzo ya jezi sio? Basi uchumi uimarishwe na promo juu. Ikiwezekana wizara ya utalii idhamini timu hata mbili midi table ligi ikiisha waje kupiga pre season.
Tetesi Za Usajili Kati Ya Barcelona Na Man United Kuhusiana Na Frenkie De Jong Zinaboaa Muafaka Haufikiwi Tu?!, Kwani Tielemans Hawamuoni Izo Hela Wanazomuwekea De Jong Sidhani Kama Leicester Watazikataa Kwa Tielemans.
Kwanini timu za ulaya haziji Africa kufanya pre season.
Nini tatizo Ukata, au miundombinu mbona South Africa, Algeria, Egypt zipo vizuri, hakuna cha ukata timu zikija zinajaza kweli na mzuka juu tena kuliko huko Asia.