Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mike verweij (tier 1 kwa habari za :ajax) anasema : man utd wameongeza ofa yao kufikia euro million 50 na bonus kwa ajili ya lisandro martinez. Fahamu ajax wakiongozwa na mtendaji wao mpya klaas jan huntelaar waliwaambia arsenal na man utd ya kwamba mchezaji husika ana thamani ya euro million 50 na si vyenginevyo. Tujiandae na here we go?
 
Kwanini timu za ulaya haziji Africa kufanya pre season.

Nini tatizo Ukata, au miundombinu mbona South Africa, Algeria, Egypt zipo vizuri, hakuna cha ukata timu zikija zinajaza kweli na mzuka juu tena kuliko huko Asia.
I think ni mauzo mzee,miundombinu sidhani kama ni sababu..hata hao kina Egypt na SA bado kwenye uwezo wa kujaza uwanja kwa bei ya ticket zetu..
 
I think ni mauzo mzee,miundombinu sidhani kama ni sababu..hata hao kina Egypt na SA bado kwenye uwezo wa kujaza uwanja kwa bei ya ticket zetu..
Mauzo ya jezi sio? Basi uchumi uimarishwe na promo juu. Ikiwezekana wizara ya utalii idhamini timu hata mbili midi table ligi ikiisha waje kupiga pre season.
 
Kwanini timu za ulaya haziji Africa kufanya pre season.

Nini tatizo Ukata, au miundombinu mbona South Africa, Algeria, Egypt zipo vizuri, hakuna cha ukata timu zikija zinajaza kweli na mzuka juu tena kuliko huko Asia.
Man Utd 2012 Tour yao ilikuwa ni South Africa. Wanakuja ila si sana Compare na Asia.

Dunia ina watu Bilioni 7 na Bilioni 4.5 wapo Asia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…