Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wa kwetu wengi hawauziki na hata wale ambao kidogo wanaweza kuuzika sokoni, bado tunawaona kama moyo wa club yetu. Hapo kikosi cha kwanza hakuna mchezaji ambaye tunawaza kumuuza hapo kwa 60M.

Unajua ifike mahala tukubali tu kuwa tuna kikosi chenye wachezaji avarage sana, labda kama ujio wa ETH utaboost morali yao.
 
Michael Carrick
:

"Hopefully they [mufc] can get a good start to the season and kick on, it'll be interesting to see how it goes.

I think [Ten Hag]'s just got to do what he does, he's proved it at Ajax and in his coaching career he's got strong beliefs and his teams play a certain way. I'm looking forward to seeing that…

As I say, I hope they get a good start to the season. If you get a good start to the season you can get momentum from there. I think when you're talking top four, you want to be right up there, of course you do. You want to be challenging.

At the start of every season for Man United, you want to be trying to win trophies and win the league, so I'm sure they'll be trying to do that."
 
Ndio mkuu ni kama AWB na yeye pia ni press resistant, anajua kudrible na kutoroka, anakaba etc, sema anajua kupiga pasi nzuri pia, na ana speed sana. Hivyo fikiria kama Awb+rashford pamoja.
Huyu jamaa anajua kupiga krosi mkuu?
 
Ukishafika hapo kuwa wakuelezee ni kivipi Ronaldo ni chanzo cha timu kufanya vibaya msimu uliopita wanakimbia. Mimi nataka maelezo tu kivipi Ronaldo amechangia tuwe na defense na midfield mbovu basi.

Nilisema hii agenda ilianzishwa na wapuuzi wa mitandaoni hasa Twitter na hawana sababu za msingi zaidi ya guessing wakikosa majibu wanakuja na quotes za wachezaji wa Juventus.
 
Ile ni brand mkuu, kwahiyo inapigwa vita na wengi sana bila hata sababu, kuna watu pia utakuta wanamdiss Messi bila sababu zozote za msingi.
 
Ngoja ligi ianze tutatafutana hapa. Mimi toka tuingie chaka kwa Raph sina imani kabisa kwa ten haag kama atafanya la maana.

Hii man u yetu ya sasa sio ya hadhi ya cristiano!
Bora aondoke tu kuepusha lawama zisizomuhusu.

Sina matumaini yoyote ya hii timu mpaka labda baada ya mechi tano au sita za mwanzo wa ligi.
 
tokea wamsajili Ericksen mie basi tena labda tusubirie msimu wa 2023/2024
Huyo jamaaa pia hajali afya yake ya moyo. Imagine man u tunaongoza 1-0 dakika ya 90+. HALafu li maguire linajifunga own goal.
Si pacemaker itatingishika moyoni. Ilibidi aende timu kama bayern,psg,au mancity ambapo atacheza mpira kwa ku lelax,man u ni hatari ka afya yake,sijui nani anamshauri huyu mtu.
 
Subirini muone maajabu ya Ten hag,hajawahi feli,
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…