Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tyrell Malacia....

Ngoja nimcheki..

But tusijajili mtu asiyeweza kuingia first eleven direct...itakuwa ujinga
mashabiki wa feyenord wanasema udhaifu wake mkubwa ni krosi kwa maana hayupo daraja moja na trent, dani alvez. ila anafanya mashambulizi na kukaba kwa kiwango cha juu. kaitafute fainali ya as roma na feyenord
 
kuna forum ya nottingham forest nimeona taarifa yao wanamfuatilia brandon williams na inasemekana thamani yake ni paundi million 10. mpaka muda sijamuona muandishi yeyote mkubwa wa manchester united akiripoti taarifa hiyo. kama nottingham forest watafanikiwa kumsajili dean henderson kwa mkopo, kwa sheria za sasa hawataweza kusajili mchezaji mwengine wa manchester united kwa mkopo. kazi kwake james garner na pre season
 
Finally, Dirisha hili inaonekana kuna mipango. Hakuna ukurupukaji wa kibozo bozo.

Maombi yangu naona Mungu anasikia. Tatibu tutafika, huwa siaminigi kabisa ktk wachezaji wa pesa nyingi. Wanakuja na inflated ego.
 
ten hag inavyosemekana hakuvutiwa na performance ya telles tulipocheza na crystal palace. huyu malacia amemfanyia uchunguzi tokea yupo ajax hivyo anamfahamu. huu si usajili wa kukurupuka
Juzi nilipoona anajianda kwenda Ufaransa nilinyong'onyea kichizi. Unaachaje kipaji kikubwa vile kikupite kwa bei chee? Ilhali tuna mapungufu upande wa kushoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…