mpango wa kumsajili kelphin phillips ulishasitishwa tokea mwishoni mwa mwezi may, upinzani wa jadi uliopo dhidi ya leeds umekuwa chanzo kikuu kwa kalphin kujiweka mbali na ofa ya manchester united. Lakini swali linakuja mbona leeds united waliuziwa daniel james kutoka manchester united.Aliekuwa target ya Man Utd kwa kipindi kirefu, Kalvin Phillips hatimae amesajiliwa na Man City😆
Alan smith, Rio ferdinand, Eric Cantona, Dani James, Borthwick Jackson etc.mpango wa kumsajili kelphin phillips ulishasitishwa tokea mwishoni mwa mwezi may, upinzani wa jadi uliopo dhidi ya leeds umekuwa chanzo kikuu kwa kalphin kujiweka mbali na ofa ya manchester united. Lakini swali linakuja mbona leeds united waliuziwa daniel james kutoka manchester united.
nakubaliana na mtazamo wako, nyuma ya pazia upo uwezekano mkubwa wa ten hag kusitisha mchakato wa kusajiliwa kwa phillips ambaye alishalengwa na scouts.Alan smith, Rio ferdinand, Eric Cantona, Dani James, Borthwick Jackson etc.
Philips ni Type za Kina RR sidhani kama ETH ana Time naye.
Mendez anamjua Mganga wa Diego costa? Maana kizizi cha Drogba hakijaondoka Chelsea, kama anataka kumaliza Career yake aende huko.Kwa mujibu wa david ornstein: jorge mendez ambaye ni wakala wa ronaldo alikutana na kufanya mazungumzo na mmiliki mpya wa chelsea. Miongoni mwa ajenda walizozungumza ni mustakabali wa ronaldo. Haijajulikana chelsea watarespond vipi juu ya pendekezo hilo.
umeamua kumtisha starring wa dunia kwa kelele za mlangoMendez anamjua Mganga wa Diego costa? Maana kizizi cha Drogba hakijaondoka Chelsea, kama anataka kumaliza Career yake aende huko.
EtH hatamaliza msimu!?FDJ laini Sana ,yule kwa epl atajuta ,
man u mkumbuke sub Ni 5 msimu huu,
Kufika October mtakuwa mshaandamana kwa mmiliki wa timu ,hamna uvumilivu kabisa
Sitashangaa ETH asimalize msimu
Bila kusajili, CR7 atasepa dakika za mwisho za usajili.Ronaldo anashinikiza 10 hag asajili
Jamaa haoni chochote kikifanyikaBila kusajili, CR7 atasepa dakika za mwisho za usajili.
Usiwe tu unabisha bila kuwa na fact p*mbi wewe na hapa kocha alikuwa ni oleKilimaliza nafasi ya pili ipiau unazungumzia man utd ya morihno
Leo Ndo tunaanza mazoezi lakini hakuna sura mpya hii timu dah.View attachment 2274072