Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Duh city na liver pamoja na ubora wa vikosi vyao ila wameongeza watu tusidanganyane shida sio kocha pekee hata uwezo binafsicwa mchezaji mmojammoja bado toko nyuma sana man kuna wachezaji city na liver na timu nyengine kikosi cha kwanza hawewezi kupata nafasi ! mfano dm wa rodri ila wameongeza philips we una Mctominay,fred,perreira na garner
 
Man. City mabingwa wa PL na bado wamesajili DM kabla yetu.


Next season nafasi 2 za top 4 tayari ni 100% Liverpool na City wana uhakika kuwepo, Spurs ya Conte haikosi pia hiyo moja inayobaki ndiyo ya wachovu waliobaki.
Arsenal,chelsea na westham man u labda 8 au 9 tusibiri
 
Uongozi mzima wa MUFC unamatatizo. Ukubwawa club, uwingi wa mashabiki na vyanzo vya mapato vinawaponza na kuwafumba macho na hivyo kushindwa kuona hali halisi na kuchukua hatua. Nasiki Cristiano Ronaldo anafikiria kuondoka.
 
Kelvin Philips huyo Etihad,Haaland ni done deal..then na sisi tunajikuta tunataka kuwa contenders coming season..huu ni utani..hata top 4 sidhani kama tutapata.
Kama tutasajili basi tupate targets zote tulizozitaka siyo tunachelewa na bado tunatoka kapa.

Arsenal nao washafanya yao sisi tupo tu.
 
We're the famous manutd and we're Going to Wembley
Livakuku,asenyeto, cheltako wanajifunza kutoka kwetu
 
Kocha mwenyewe alishasema kikosi chetu kipo vizuri sababu kilimaliza nafasi ya 2 kwa hiyo tusitegemee usajili wa kutisha sana,wakati target zake zenyewe zikiwa ni wachezaji wa AJAX.Hapa tusubiri akiwabadilisha kina Rashford na kina Elanga kuwa kama Mbappe na Neymar,tunaweza kusajili wachezaji watatu naona kwa bajeti yetu msimu huu
 
me nahisi aliambiwa kabisa we chukua mkataba na uendelee na hayahaya matakataka mambo memngine kausha yale tunayoskia alikuwa masharti yake ni maneno tu
 
Kelvin Philips huyo Etihad,Haaland ni done deal..then na sisi tunajikuta tunataka kuwa contenders coming season..huu ni utani..hata top 4 sidhani kama tutapata.
Mlisema hamuwataki waingereza Kwa kujisahaulisha timu ilipiganiwa na haohao waingereza na kujisemesha zama zimebadirika,Mbona wivu Sasa Kwa jirani Kwa Phillips kusajiriwa
 
Kelvin Philips huyo Etihad,Haaland ni done deal..then na sisi tunajikuta tunataka kuwa contenders coming season..huu ni utani..hata top 4 sidhani kama tutapata.
Tunahitaji misimu isiyopungua miwili kujisoma tupo wapi,hata tukibadili timu nzima ni uongo kujipa moyo kwamba msimu ujao tutakua contenders,TUWE WAVUMILIVU,shida ya Man u ndo hii,huwa tunajipa matumaini saana ndo maana tunaumia na tunajikuta tunanunua kwa presha kama wakina Sanchez,pogba n.k
Liverpool walipomsajili Van Dijk pekeake timu nzima ikabadilika na ingawa walikua na viungo tia tia maji,then wakaendelea mdogo mdogo.
Naimani hata tukifanikisha kwa d jong pekeake ake sio mbaya,kuna kombe la dunia linakuja naiman tutapata wachezaji wazuri,acha jamaa aisome timu,abadili mifumo yake.
Besides,we have another 65 daysof transfers.
 
Kilimaliza nafasi ya pili ipi
au unazungumzia man utd ya morihno
 
Mbona hamueleweki? Man UTD si mnasema hamtaki waingereza?? Kwa hiyo Phillips kwenda Etihad Sasa hivi mnaona wivu???

Na bado Rice huenda akaenda darajani,halafu muanze kuongea sana.
Rice ni overpriced wa kazi gani sisi? 1000% Rice hawezi kusajiliwa United.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…