Mara zote hao regista lazima wawe na mtu anaeweza kukaba vizuriNilielewa toka awali umewahi kuona hao regista wakicheza bila mkabaji ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Wachezaji wote ambao hawakucheza mechi za kimataifa wanahitajika kurudi tarehe 27, JUNE itakuwa jumatatu.hivi wakuu timu inaondoka lini kuweka kambi la kuanza msimu mpya maana naona mechi yetu ya kwanza itakuwa dhidi ya Liverpool tarehe 12/7.
Yeah sure bro .Ten Hag hamtaki de Jong kuwa mkabaji anatakaka de Jong ka mtu wa kwanza kurecieve mpira kwa mabeki na kuipeleka mbele kwa usahihi kitu ambacho Fred na mcsauce hawana. Ka Chelsea jorginho n holding ila kante mkabajiDe jong hachezi 10, sio kama Fernandez, Kipindi wanacheza ajax Van De Beek ndio alikuwa anacheza mbele kama kiungo mshabuliaji, na FDJ alikuwa nyuma.
Kwa sisi man U hatukuwa tukicheza na Regista ndio maana unaona kwetu idea ya regista si kubwa.
Ila angalia majirani zetu Chelsea Kante anacheza na Jorginho, huyu Jorginho si mkabaji ila anakaa Nyuma, Mount ama Havertz anakuwa mbele.
Sasa fikiria Mount kama Bruno na FDJ kama Jorginho.
Linabaki sasa swali la mwisho nani atakuwa kante wetu? patner wa FDJ ambaye atamkabia? Fred ama DM mpya?.
Nakubalianaa na ww endapo tutaongeza nguvu kwenye midfield. Tukimpata FDJ na DM mmoja.Nachoona kwa upande wangu labda kocha hana mpango wa kuingia sokoni kwenye dirisha la msimu huu.
Labda kocha anataka kuingia na kikosi hiki hiki msimu mpya aanze nacho.
Maana Manchester sio kwamba tuna kikosi kabaya sana labda ni mbinu za makocha tu zilishindwa.
Mimi hata tusipo fanya usajili naona sawa tu maana wachezaji tunao kibao kwakuwa kocha ana jenga timu naona tu asitumie nguvu kubwa kwenye dirisha hili maana wachezaji wenye wapo haja fanya nao kazi hata kidogo.
Mimi naona msimu wa 2023/2024 ndo tunaweza kufanya cha maana kwenye usajili sio dirisha hili.
Tuna Julian Ward huyu ni moto mwingine... Ile policy ya recruit from within imesaidia sana hii transition maana wengi walihofu baada ya Edwards itakua aje nadhani jibu unalo baada ya kuwapora chap Tottenham Diaz January na Nunez Manchester United nao wakamkosa kwa mbinu kali sana kutoka Ward.
bado hatujawa na usawa wa kikosi licha ya kuondoka kwa hao wachezaji 6 uliowataja, changamoto kubwa tulionayo ni kuwa na kundi kubwa la wachezaji wenye taathira ndogo sana ya kiuchezaji jambo linalopelekea kuwa frustrated.Kuna gepuu kubwa kwenye kikosi wameondoka wachezaji karibu wa 6
Cavan
Mata
Lingard
Pogba
Matic
Greenwood
Apa kwa haraka ili kubalance kikosi atleast tusajili wachezaji 4 d
Ili depth ya kikosi iwe sawa..ukumbuke tuna Europa League na Premier League michuano yote tunatafuta nafasi nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna mabeki wa kati 7, Maguire, Varane, lindelof, Bailly, Jones, Tuanzebe na Mengi hapo Mpaka wauzwe watatu ama zaidi ndio tuanze kufikiria mengine.bado hatujawa na usawa wa kikosi licha ya kuondoka kwa hao wachezaji 6 uliowataja, changamoto kubwa tulionayo ni kuwa na kundi kubwa la wachezaji wenye taathira ndogo sana ya kiuchezaji jambo linalopelekea kuwa frustrated.
licha ya kuondoka kwa hao wachezaji walioishiwa mikataba yao lakini bado tunao wachezaji hawa wa kikosi cha kwanza, bahati mbaya sana hakuna mwenye uwezo wa kufikia matarajio yetu ndio maana tunawaza usajili.
facundo pellistri + amad + anthony martial + tuanzebe + james garner +tahit chong + teden mengi.
sijafanya mahesabu ila nadhani wachezaji wa kikosi cha kwanza waliopo bado wanafika 30 jambo ambalo si sahihiTuna mabeki wa kati 7, Maguire, Varane, lindelof, Bailly, Jones, Tuanzebe na Mengi hapo Mpaka wauzwe watatu ama zaidi ndio tuanze kufikiria mengine.
@Mc cane : Aise umepotea sana humu.Mashabiki wa United tukisubiri transfer news View attachment 2269779
Kwenye Kikosi cha United nani atafanya hilo jukumu?
Hivi Henderson anatolewa kisa nini?..Hii timu hii sasa wachezaji wanatoka tu sasa wanatoa kipa kijana huyu mbona akili za hii timu sizielewi.View attachment 2270766
Naona kocha kachagua De Gea awe no 1 msimu ujao. Dean anataka game time watoto wanaibuka tu pale England kila leo, anahofia kupotea kabisa nadhaniHivi Henderson anatolewa kisa nini?..
Hatoshi kuwa 2nd goalkeeper..au anataka game time ya kutosha?
Hii move sijaielewa kabisa.
Anataka game time ya kutosha.Hivi Henderson anatolewa kisa nini?..
Hatoshi kuwa 2nd goalkeeper..au anataka game time ya kutosha?
Hii move sijaielewa kabisa.
Henderson ni kipa mzuri na yeye kulazimisha kupewa mechi za kutosha ni suala linaeleweka kabisa. Kitu kizuri United hawajauza kabisa maana bado kama watu hawana uhakika pale Sheffield United (PL) ni one season wonder au vipi? Hii move nzuri sana kwake na kocha, mwisho wa msimu kocha atapata picha nzuri kipa yupi anamfaa kwenye timu yake maana rebuild ndiyo kwanza inaanza.Hii timu hii sasa wachezaji wanatoka tu sasa wanatoa kipa kijana huyu mbona akili za hii timu sizielewi.View attachment 2270766
Henderson hawezi kukubali Kuwa choice no 2, ni kipa mzuri kwa Timu yoyote ile midtable epl pale. Aliwafikisha Shefield mpaka nafasi ya 6 kabla ya Corona.Hivi Henderson anatolewa kisa nini?..
Hatoshi kuwa 2nd goalkeeper..au anataka game time ya kutosha?
Hii move sijaielewa kabisa.