D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
hiyo taarifa ya anthony imeandikwa na waandishi wa habari wa brazil pekee, inaweza kuwa ni sahihi au ni uzushi wa mawakala kuitumia brand ya manchester united kwa lengo la kutengeneza mazingira ya kupata mikataba mikubwa kwa wateja waoHuu Utakuwa Usajili Mzuri, Yeye Wing Ya Kulia Sancho Wing Ya Kushoto
anaweza kuendeleza moto wake wa kufunga magoli kwa msimu mwengine au pia ikawa kinyume chake. tufahamu darwin nunez ni msimu huu tu amekuwa bora. pia unadeal na benfica. wazee wa kuuza wachezaji wanaotrend kwa bei kubwa kama walivyofanya kwa joao felix.
mbahili hawezi kulipa pound million 60 au zaidi kwa ajili ya goalkeeper, liverpool wanajiandaa na maisha ya baadae kutokana na sintofahamu ya mkataba wa salah unaomalizika msimu ujao pamoja na sadio mane. bila ya shaka ameona ugumu wa kupata winga mwengine aina ya salah mwenye uwezo wa kuhusika na magoli 30 au zaidi ndio ameamua kurudisha mfumo wa kutumia striker. kama liverpool wangelikuwa na nafasi ya kumsajili kylian mbappe kuziba nafasi ya salah wasingelisita kufanya hivyo.Klop alivyo mbahili vile, akitoa tu £40m huyo mchezaji anakua hatari, ukiona kakubal kutoa zaid kwa Nunez usitegemee kuflop
Vipi keita? Na Klop alimkataa Salah alimtaka Brandt, scouting yao ipo vizuri ila sio perfect.Klop alivyo mbahili vile, akitoa tu £40m huyo mchezaji anakua hatari, ukiona kakubal kutoa zaid kwa Nunez usitegemee kuflop
Huwa Mkuu nafurahi sana Tier 1 kama hawa wakiclarify mambo.laurie whitwell anasema hiyo taarifa ya jorge mendez kukutana na erik ten hag kwa dhumuni la kujadili usajili wa darwin nunez ni bogus, kwa maana ni feki
umenisaidia sana kuvifahamu vyanzo vya taarifa vyenye uafadhali na rubbish, uzuri pia ukitembelea subreddit za timu wanakuwekea list ya chanzo sahihi na takataka. Vijarida uchwara sivifuatiliiHuwa Mkuu nafurahi sana Tier 1 kama hawa wakiclarify mambo.
Pia Amesema De jong yupo Open Kujiunga Man U, tofauti na Rumors za mwanzo kwamba hataki kuja kwetu.
Kwa usalama wa Afya ya akili yako vyema ukaepuka kabisa hivi ijumaa na uwazi za ulaya.
Kuna sources ukiona zimetoa taarifa unajua tu zinatafuta kuuza habari mfano hao the expresslaurie whitwell anasema hiyo taarifa ya jorge mendez kukutana na erik ten hag kwa dhumuni la kujadili usajili wa darwin nunez ni bogus, kwa maana ni feki
swadakta, halafu kuna wahuni wa mirror na the sun. Muda mwingi wanaandika uongoKuna sources ukiona zimetoa taarifa unajua tu zinatafuta kuuza habari mfano hao the express
umemsahau mario goetzeVipi keita? Na Klop alimkataa Salah alimtaka Brandt, scouting yao ipo vizuri ila sio perfect.
Hapo yanatengenezwa mazingira tupigwe tena kama kawaida, wacha aende Liverpool haina shida kuliko kutoa mapesa yote hayo kwa mchezaji aliyewika msimu mmoja alafu anatokea timu ndogo, huo ni upuuzi.anaweza kuendeleza moto wake wa kufunga magoli kwa msimu mwengine au pia ikawa kinyume chake. tufahamu darwin nunez ni msimu huu tu amekuwa bora. pia unadeal na benfica. wazee wa kuuza wachezaji wanaotrend kwa bei kubwa kama walivyofanya kwa joao felix.
Hatupaswi kujiweka daraja moja na manchester city na liverpool kwa sasa, tupunguze kuwashwa washwa mdomo