Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,478
Kwamba Tadic ni More Technical Kuliko Rashford?Mkuu mie naona EtH anapenda technically gifted players wenye work rate kubwa lakini ukiangalia Rashford zaidi ya mbio sioni kingine hapo.
Nahisi atamtema jumla au asiwe starter.
Kuna hii pia.kwa takribani miaka 40 sir alex ferguson anabaki kuwa kocha pekee kuwahi kuifunga real madrid katika mchezo wa fainali inayohusu mashindano yoyote ya UEFA. Alifanya hivyo akiwa kocha wa ABERDEEN.
Makocha wanaotaka mafanikio huwa wanapenda sana wachezaji ambao wanabahati ya magoli katika mechi muhimu na wenye direct impact kikosini hata akicheza dakika tano tu.Mkuu mie naona EtH anapenda technically gifted players wenye work rate kubwa lakini ukiangalia Rashford zaidi ya mbio sioni kingine hapo.
Nahisi atamtema jumla au asiwe starter.
Bruno Fernandez akipata midfielder wazuri nyuma yake huenda akatoa hata assist mia kwa msimu anajua sana kupiga pasi ambazo huzalisha magoli.Top assist in UCL 2022 Bruno Fernandez.
Thus why ETH anasema still there is potential in this squand....ngoja tusubri nn kinafata next season
2022-1980 ni miaka 42, hio stat walicherry pick wakasema miaka 40.Kuna hii pia.View attachment 2243519
Waste of time kusema kweli, na Tetesi za mwishoni kwamba Jamaa alikuwa anamuachia Assitant hazisaidii.RR anasepa.
In think on the field Ralf Rangnick alifeli sana, but the environment ambayo ameikuta timu ilikuwa ina matatizo mengi sana, kuna ujinga mkubwa ulikuwa unafanyika na management hawakuchukua hatua yeyote.Kwenye interview zake alisaidia sana ku-expose makosa/matatizo yalifanywa huko nyuma na ndio maana nilisema huyu jamaa huenda akafukuzwa kabla mkataba wake haujaisha unless wampige mkwara akae kimyaWaste of time kusema kweli, na Tetesi za mwishoni kwamba Jamaa alikuwa anamuachia Assitant hazisaidii.
Naona Za Chini ya Kapeti kuna uwezekano Mazungumzo baina ya ETH na RR yamefanya RR aachie ngazi.
Murtough anampenda sana RR, sidhani kama angemfukuza.In think on the field Ralf Rangnick alifeli sana, but the environment ambayo ameikuta timu ilikuwa ina matatizo mengi sana, kuna ujinga mkubwa ulikuwa unafanyika na management hawakuchukua hatua yeyote.Kwenye interview zake alisaidia sana ku-expose makosa/matatizo yalifanywa huko nyuma na ndio maana nilisema huyu jamaa huenda akafukuzwa kabla mkataba wake haujaisha unless wampige mkwara akae kimya
Mmeanza SasaLigi sasa zimeisha, msimu ujao ETH atawanyoodha sana wapinzani. Rashford na Sancho watakuwa on form, CR7 atapokea pass nyingi sana nzuri. Yani msimu ujao kama hatujabeba treble sijui.
Tukutane msimu ujao.
GGMU
😂😂😂 dah, mmeshaanzaLigi sasa zimeisha, msimu ujao ETH atawanyoodha sana wapinzani. Rashford na Sancho watakuwa on form, CR7 atapokea pass nyingi sana nzuri. Yani msimu ujao kama hatujabeba treble sijui.
Tukutane msimu ujao.
GGMU
Kwamba RR alikuwa na nia ya kuendelea ila ETH kasema hamuhitaji?Waste of time kusema kweli, na Tetesi za mwishoni kwamba Jamaa alikuwa anamuachia Assitant hazisaidii.
Naona Za Chini ya Kapeti kuna uwezekano Mazungumzo baina ya ETH na RR yamefanya RR aachie ngazi.
Habari ya Leo ni Mutual Termination, wamekaa wameongea wamekubaliana ni Vyema kila mtu akaenda na Njia yake.Kwamba RR alikuwa na nia ya kuendelea ila ETH kasema hamuhitaji?
Rashford ? ntahamia liverLigi sasa zimeisha, msimu ujao ETH atawanyoodha sana wapinzani. Rashford na Sancho watakuwa on form, CR7 atapokea pass nyingi sana nzuri. Yani msimu ujao kama hatujabeba treble sijui.
Tukutane msimu ujao.
GGMU
Mctominay mwengineNaangalia hapa fainali ya Championship playoffs huyu James Garner abaki next season. Kwenye set pieces hatari sana, Nottingham wanaongoza baada ya dogo kupiga mpira mzuri na Huddersfield kujifunga.
Bado kuna attack aliizima kwa kufanya tackling ya maana nje ya box tu kuokoa jahazi.