Tier 1 source gerald romeroFrankie De Jong to Man utd
Chelsea wana kikosi kizuri sana na wanatoa wachezaji wengi sana kwenye timu za taifa.mgogoro wa mourinho dhidi ya paul pogba ndio ulimfaidisha scott mctominay, jose alimpandisha kutoka academy. uwezo wa mctominay ni wa kuchezea vilabu kama burnley na si kuwa regular starter wa manchester united. Tumerudi nyuma sana.
Msimu uliopita pia mlisema msimu huu mtaupiga mwingi mpaka kumwagika, naona mnaelekea kuumwaga carabao hukoooooooNext season ni kuupiga mwingi tu mpaka umwagike.View attachment 2221116
Unamnunua Harry Kane unamuacha Patrick Schick ?Ndio maana mimi huwa siwapendi wachezaji wa kiingereza wana price tag kubwa sana hapo bado hujaweka mshahara wake ambao hauwezi kupungua 350k/weekly. Pia Harry mwezi July anatimiza umri wa miaka 29.
Nyuma Cristiano Ronaldo mwenye 37, Benzema 33, Lewandowski 33 kuna zaidi ya asilimia 90 ya wachezaji wenye umri wao ambao hawawezi kucheza ktk peak hiyo hawa ni exceptional cases. Hawa ni outliers ktk distribution curve yaani ktk kila kundi la wachezaji wenye umri zaidi ya miaka 28 ni wachezaji wachache sana huwa wanacheza ktk ubora wao.
Longterm transfer strategy nzuri inatakiwa tujikite kutumia pesa nyingi kwa wachezaji wenye umri wa miaka 20 ~ 24. Mchezaji yeyote mwenye umri zaidi ya miaka 28 anapaswa aje bure kama free agent na sio kulipa pesa. Tu-deal na mshahara wake tu na sio transfer fee. Just imagine kama EtH anapewa pound 200M sioni kama ni busara kuleta wachezaji wawili ktk timu yenye uhitaji wa wachezaji angalau 6.
Lakini pia ni wachezaji wachache sana nje na waingereza ambao wamekua wakitupa mafanikio all the way.. With exception ya Ronaldo, Berba (atleast) na RVP ni mchezaji gani non English aliyekuja na kufanikiwa?Sijawahi tamani tumnunue muingereza yeyote.View attachment 2219506
Rio atulie tuu .. Binafsi nadhani hii overhaul imechangiwa sana na character ya Rangnick, ilikua lazima tufeli kwa kiwango hiki ili at least kuangalia mwanzo mpya. Kinachofanyika sasa kilitakiwa kufanyika baada ya failure ya Jose.
Ungetaja waingereza waliotupa mafanikio with exception of class 92 ,ferdinand na rooney ndo ujue jinsi walivyo vimeo pamoja na wingi wao pale utdLakini pia ni wachezaji wachache sana nje na waingereza ambao wamekua wakitupa mafanikio all the way.. With exception ya Ronaldo, Berba (atleast) na RVP ni mchezaji gani non English aliyekuja na kufanikiwa?
Huyu dogo Garnacho msimu ujao awe first 11.. Mali hii aisee, dogo anaujuaNgoja leo tuamie kwa watoto labda watatufurahisha maana hawa wakubwa sasa ni homa tu..
Leo kuna Final ya FA ya under18 kati ya Manchester United na Nottingham forest .
Wenzetu mpaka vimechi vya watoto vina mashabiki wa kutosha maana hii mechi watu 65000 wamenunua ticket kwaiyo tutegemee uwanja kujaa kama kawaida.View attachment 2220332
Reecruitment yeyote inakupa kile unachostahili.Lakini pia ni wachezaji wachache sana nje na waingereza ambao wamekua wakitupa mafanikio all the way.. With exception ya Ronaldo, Berba (atleast) na RVP ni mchezaji gani non English aliyekuja na kufanikiwa?
mnaonaje wadau jamaa atakuwa msaada kwenye tatizo la kiungo ? inasemekana deal doneView attachment 2221144
United siyo kwamba ina kikosi kibovu kuna vitu tu havipo sawa na kwa ujio wa EtH kuna matumaini kidogo tunayo pia kuna wachezaji baadhi wanaturudisha nyuma: uwezo mdogo kuliko matarajio, viwango kushuka, mbinu za kocha hazifanyi kazi pamoja na uvivu.Msimu uliopita pia mlisema msimu huu mtaupiga mwingi mpaka kumwagika, naona mnaelekea kuumwaga carabao hukooooooo
Next Match Itakuwa 0 Kabisa Apo.... Crystal Palace Sio Watu Wazuri Kwa Utd Ya Sasa.NYUMBU MNATIA AIBU SASA HIYO NI NINI ????View attachment 2221665