Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndio maana mimi huwa siwapendi wachezaji wa kiingereza wana price tag kubwa sana hapo bado hujaweka mshahara wake ambao hauwezi kupungua 350k/weekly. Pia Harry mwezi July anatimiza umri wa miaka 29.

Nyuma Cristiano Ronaldo mwenye 37, Benzema 33, Lewandowski 33 kuna zaidi ya asilimia 90 ya wachezaji wenye umri wao ambao hawawezi kucheza ktk peak hiyo hawa ni exceptional cases. Hawa ni outliers ktk distribution curve yaani ktk kila kundi la wachezaji wenye umri zaidi ya miaka 28 ni wachezaji wachache sana huwa wanacheza ktk ubora wao.

Longterm transfer strategy nzuri inatakiwa tujikite kutumia pesa nyingi kwa wachezaji wenye umri wa miaka 20 ~ 24. Mchezaji yeyote mwenye umri zaidi ya miaka 28 anapaswa aje bure kama free agent na sio kulipa pesa. Tu-deal na mshahara wake tu na sio transfer fee. Just imagine kama EtH anapewa pound 200M sioni kama ni busara kuleta wachezaji wawili ktk timu yenye uhitaji wa wachezaji angalau 6.
 
Pau Torres namuona kama yuko overhyped sana.
 
Kuna mtu aliwahi kusema humu kwamba uefa itafikiria cha kufanya mana kukosekana kwa man u ni hasara.View attachment 2219055
Kuna rafiki yangu ana pub na kumbi za kuonyesha mipira Mikocheni na Msasani huwa United inapofanya vibaya anapataga hasira kinoma japokuwa yeye ni L'pool ananiambia biashara yake huwa inatikisika sana.
 
Watoke wote.. nahisi pia wanamkimbia mmarekani. Glazer family hawana maana
Hemen Tseayo ambaye ni head of corporate finance ameachia madaraka baada ya kuhudumu klabuni kwa miaka 10. Taarifa imeandikwa na laurie whitwell.
 
mgogoro wa mourinho dhidi ya paul pogba ndio ulimfaidisha scott mctominay, jose alimpandisha kutoka academy. uwezo wa mctominay ni wa kuchezea vilabu kama burnley na si kuwa regular starter wa manchester united. Tumerudi nyuma sana.
Nakubaliana nawewe, katikati Pana pwaya sana
 
Uhakika ashawekewa radarbna man City
 
Ameshaondoka kwenye list.

Labda Nkuku.
 
Kocha wa sasa ataanza kufeli akisajiliwa wachezaji ambao hawamsaidii.
 
Sijawahi tamani tumnunue muingereza yeyote.
 
Kuna mtu aliwahi kusema humu kwamba uefa itafikiria cha kufanya mana kukosekana kwa man u ni hasara.View attachment 2219055
Mimi nilishaziambia mbuzi fulani humu ziliokua zinachekelea kutofuzu kwetu kwenda UEFA kua
"UEFA inaihitaji zaidi Manchester United kuliko Man Utd inavyoihitajia UEFA"
Hizi kenge zinavyoambiwa kua Manchester United ndio timu ya dunia sijui hua zinafikiri tunatania.
allypipi kila mara hua anawakumbusha kua siku manchester united ikiwa uwanjani dunia nzima hua na furaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…