Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na mmemeza kweli, Chakushangaza mmepindulia mdomoni pindi mkimeza
 
Bora hii kazi ya ukocha angepewa Carrick, huyu mjerumani ni kenge πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Na mmemeza kweli, Chakushangaza mmepindulia mdomoni pindi mkimeza
 
Graham Potter analipwa kiasi kidogo sana kwenye timu yake, ila huyu jamaa ni game changer maana kuna u-klopp ndani yake.

Lakini hili litimu limeenda kutoa mipesa kibaaaoo kumsainisha kocha wa ligi ya mchangani ya uholanziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Founder and father of Gegenpressing

😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

Ila media waongo aiseeee duh
Aisee jinsi jamaa alivyopigiwa promo , kumbe tapeli tu...hata ole gunnar ana afadhali kuna mechi zake kubwa alikuwa akiziotea anashinda
 
Kosi la ushindi kabisa hili.

GGMU
View attachment 2215586

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Aisee jinsi jamaa alivyopigiwa promo , kumbe tapeli tu...hata ole gunnar ana afadhali kuna mechi zake kubwa alikuwa akiziotea anashinda
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Kwahiyo ndugu pale kwa RR mmetapeliwa???
 
Ndugu nipigie Spurs huko kesho nimpumulie Chelsea kisogoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…