Mwalimu wa Pressing amekutwa na nini?mwalimu wa Klopp na Tuchel kaishiwa mbinu?let me nitafute nyuzi za nyuma Kuhusiana na Ragnick sifa alizopewa humu Jukwaani
Kikubwa tunawashukuru Liverpool kwa kutuheshimisha japo wamekosa kabisa utu kwa wafiwa.
Mnaitesa United bado inaendelea kupambania nafasi ya 4.
AsaniAli jumamosi tukutane Emirates baada ya kesho na nyinyi kushikishwa ukuta na Ze Blauz.
Binafsi, leo ndo mara yangu ya kwanza kabisa kuona Man U wamecheza mpira wenye ubora na wameonyesha kiwango cha hali ya juu kabisa tangu msimu huu umeanza.