Sasa wewe unategemea kwa utopolo wa Kupanga Maguire kila mechi na kuendeleza upuuzi wa Trashford tutaheshimu kocha.He!
Mara hii mshaanza kumdharau mwalimu wa walimu?
Kunani pale?
70%of man u fans ni kina jafe na KUNZEMwalimu wa Pressing amekutwa na nini?mwalimu wa Klopp na Tuchel kaishiwa mbinu?let me nitafute nyuzi za nyuma Kuhusiana na Ragnick sifa alizopewa humu Jukwaani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mechi na Liverpool tuna uwezo wa kufanya vizuri iwapo RR atakuwa tayari kumweka bench
1. Pogba
2. Mangure
3. Rashford
Game plan 352
Kweli ni matusi maana uwezo wa maguire ni nusu ya uwezo wa coulibally.Matusi haya sasa. Nani kasema ambatanisha ushahidi.
Tupo tunapinga Uingereza hata Mourinho akiwepo
Wee jamaa una matani sanaπ€£π€£π€£π€£wapenzi wa man utd asilimia kubwa walikuwa wanajua leo wanapigwa tuuBinafsi, leo ndo mara yangu ya kwanza kabisa kuona Man U wamecheza mpira wenye ubora na wameonyesha kiwango cha hali ya juu kabisa tangu msimu huu umeanza.
Mmh kwan mechi imeisha vp.? Kwan hawajashinda.? Mbona kama niliona magwaya amefunga goli la kisigino.!Wee jamaa una matani sanaπ€£π€£π€£π€£wapenzi wa man utd asilimia kubwa walikuwa wanajua leo wanapigwa tuu