Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndio maana umeona sasa kwanini kocha wa Taifa la uingereza hajamwita Sancho kwenye kikosi chake
Akimwita Kombe la Dunia,Sura Yako utaiweka wapiii kijana. Zile game zilikuwa friend match TU ndo maana hata James akasepa
 
IMG-20220403-WA0005.jpg
 
Akimwita Kombe la Dunia,Sura Yako utaiweka wapiii kijana. Zile game zilikuwa friend match TU ndo maana hata James akasepa
Kama unaamini Sancho ataitwa basi unatatizo la akili hivi ulimsikia kocha wa uingereza alichojibu baada ya kuulizwa na mwandishi mmoja kwanini ajamwita sancho
 
Kama unaamini Sancho ataitwa basi unatatizo la akili hivi ulimsikia kocha wa uingereza alichojibu baada ya kuulizwa na mwandishi mmoja kwanini ajamwita sancho
Rudia kusoma Mkuu! Nimesema vipi ikitokea akaitwa kwenye kombe la dunia? Maana walio itwa Kwa international break ya juzi Siyo kwamba ndiyo watakao kwenda Qatar. Ndo nauliza utasemaje???

Wala Haina haja ya kutukana kuwa Nina tatizo la akili ungali,Ingali akili Yako inatia mashaka.
 
Rudia kusoma Mkuu! Nimesema vipi ikitokea akaitwa kwenye kombe la dunia? Maana walio itwa Kwa international break ya juzi Siyo kwamba ndiyo watakao kwenda Qatar. Ndo nauliza utasemaje???

Wala Haina haja ya kutukana kuwa Nina tatizo la akili ungali,Ingali akili Yako inatia mashaka.
Ndio maana nimekuambia itafute clip ya kocha wa uingereza uone alichojibu swali ya mwandishi kuhusu sancho baada ya kusikiliza hiyo clip alafu jiulize kuna dalili yoyote ya sancho kuitwa?
 
Sasa hivi mbuzi wa kafara ni Sancho


Alianza pogba

Akaja rashford

Akafata magwaya




Hili chama raha sana
 
Back
Top Bottom