Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,536
- 4,532
4 - 2 - 3 - 1mnacheza formation gani man u
4 - 2 - 3 - 1mnacheza formation gani man u
Iheanacho playing rubbish
Tulia wamalizieKOCHA MJINGA HUYU..HUYO SANCHO ANACHEZA MPAKA MWISHO..ETI ANAMTOA TOMINAY KUMUINGIZA RASHFORD..TOA SANCHOOOOOOO
Tominay angebaki angepewa kadi nyekundu hata kwa foul ndogo sana. Sema amjaribu Lingard nafasi ya Sancho.KOCHA MJINGA HUYU..HUYO SANCHO ANACHEZA MPAKA MWISHO..ETI ANAMTOA TOMINAY KUMUINGIZA RASHFORD..TOA SANCHOOOOOOO
Mkuu usisahau kutuwekea msimamo kama ufanyavyo kwenye jukwaa letu kuleHAPA UNITED KILA KOCHA ANAYEKUJA ANA MCHEZAJI WAKE ANAYEMPENDA NA ANAYEMUANGUSHA SANA...WAKATI ULE TULIKUWA NA MASHO" WAKATI HUU TUNA SANCHO. WINGA HAPIGI HATA KROSI MOJA!!!! CHENGA NYIIINGI MAAMUZI YA MAANA HAMNA..WAKATI TUNACHEZA MPIRA TULIKUWA TUNAWAITA "MACHACHARI LAKINI SIO HATARI"








Nyumbu likajitokezaFredooooo