“ Tumeshinda mataji 11 kwenye misimu minne na hilo watu wanaweza kukataa,
lakini majirani zetu hawajashinda kitu na wamekuwa na mashabiki wengi sana kwenye mji mmoja na kumekuwa na mshindi mmoja na pia wametumia sana hela,”
Aymeric Laporte,”


nyie AssAnal mtaendelea kupewa mabakuli halafu mlivyo mapopoma mnashangilia kwa vifijo kwelikweli kumbe dunia inawachora tu jinsi mlivyo mapoyoyo. Tukutane saa moja na nusunyie AssAnal mtaendelea kupewa mabakuli halafu mlivyo mapopoma mnashangilia kwa vifijo kwelikweli kumbe dunia inawachora tu jinsi mlivyo mapoyoyo.
Naona tayari mmekabidhiwa kombe jingine endeleeni kutembea vifua mbele. View attachment 2173037
Habari kaka vipi hali hapo darajani nasikia uliemfumania kakuinamisha na wewe.Hii utopolo bado upon? Mods futeni Uzi huu haraka.
Leo huonekani kabisa Jamii Forums, kuna nini mkuu?Hii utopolo bado upon? Mods futeni Uzi huu haraka.
Jamaa hajui chochote zaidi ya kuscore.Iheanacho playing rubbish