Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Club kubwa duniani inacheza leo, dunia nzima inaitazama United, dunia nzima ina furaha.
Screenshot_20220402-144511_Twitter.jpg
 
“ Tumeshinda mataji 11 kwenye misimu minne na hilo watu wanaweza kukataa,

lakini majirani zetu hawajashinda kitu na wamekuwa na mashabiki wengi sana kwenye mji mmoja na kumekuwa na mshindi mmoja na pia wametumia sana hela,”
Aymeric Laporte,”
nyie AssAnal mtaendelea kupewa mabakuli halafu mlivyo mapopoma mnashangilia kwa vifijo kwelikweli kumbe dunia inawachora tu jinsi mlivyo mapoyoyo.
Naona tayari mmekabidhiwa kombe jingine endeleeni kutembea vifua mbele.
tapatalk_1487869928_512x288.jpg
 
Mchezaji bora kuwahi kutokea tangu Manchester iundwe Le captain harry maestro Maguire go boy make us proud.
 
Li timu lina wachezaji empty headed, yanasaini kuongeza mikataba hata bila kujua ni Meneja yupi anakuja baada ya rangnick.
What if manager anayekuja hatakuweka kwenye mipango yake? Idiots
 
Kocha ni mjinga au anajua mashabiki wa hii timu ni wajinga so anapanga tu wachezaji anavyojisikia?
 
Back
Top Bottom