Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hapa pogba anamwambia akabe
 
Poleni Sana kwa kipindi kigumu mnachopitia huo ndio ukubwa tatizo lenu kuu mna mdomo Sana ndio maana mna maadui wengi.
 
Shaw and captain magway confirmed start tonight

Other players: Ronaldo, lingad, cavani and the likes.....


 
Jamaa umeanza kutuhurumia 😅😅😅 asante kwa upendo huu......united tatzo halijulikani na hatujui tunafanyaje kuondoa hali hii
Aina za sajili mnazofanya ni changamoto kwenu nilitegemea mngesaji angalau kuungo mkabaji na mwenye uwezo wakubiga pass za maana.Pia management yenu imewapa nguvu kubwa wachezaji badala ya kocha yaani unamfukuza kocha wa muda Carrick unamleta kocha wa muda Tena RR nguvu ya kocha itatoka wapi?
 
Mzee atakua hajitumi, black tuna tatizo.

Alitakiwa amaintain ile fomu yake ya PSG vs Man U. Angeenda mbali.
 
Shaw and captain magway confirmed start tonight

Other players: Ronaldo, lingad, cavani and the likes.....

 
Kuna muda mlikua mna viporo vinne na sijawahi ona shabiki wa Arsenal akisema anaonewa 😅😅
 
Watu tunaacha kulala tunakodoa macho hadi saa saba za usiku kuangalia upuuzi wa Maguire na wapuuzi wenzake..
 
Ralf Rangnickelodeon anakuambia Maguire ni kapteni na hakuna namna atamuweka benchi anachoamini yeye Maguire ataendelea kuimarika siku baada ya siku.

Hold on:

Sasa hivi ana miaka 28.

Alinunuliwa kwa Milioni 80.

Kwamba mchezaji wa 80M unamnunua ili aje kuimarika? Na sasa anaelekea ukingoni.

Mwingine kanunua mshambuliaji kwa 100M lakini anayeongoza kwa magoli ni kiungo na huyo kiungo ana magoli 6 ya penati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…