Nyumbu ndio mnamuangusha sana Magwaya na sio kinyume chake
Mnamkumbuka magwaya wa Leicester city!!! Alikua kitasa kweli kweli
Haya matokeo mnayo yapata baada ya machozi, damu na jasho la magwaya
Kuna uwezekano mkubwa bila magwaya sasa hivi mngekua na Newcastle kule