Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Inaonekana viongozi au uongozi hawajagundua matatizo yanayoikabila taasisi ya Manchester Utd, man utd inapotea na kukosa ushawishi kwenye anga za mpira...
Timu ya wakubwa inafanya vibaya, timu ya vijana inafanya vibaya, timu ya wanawake inafanya vibaya.
Ni muda mwafaka kwa viongozi kuachia ngazi make wameshindwa kutatua tatizo.
 
Inaonekana viongozi au uongozi hawajagundua matatizo yanayoikabila taasisi ya Manchester Utd, man utd inapotea na kukosa ushawishi kwenye anga za mpira...
Timu ya wakubwa inafanya vibaya, timu ya vijana inafanya vibaya, timu ya wanawake inafanya vibaya.
Ni muda mwafaka kwa viongozi kuachia ngazi make wameshindwa kutatua tatizo.
 
Manchester United have agreed a deal worth in excess of £20m-per-year for blockchain platform Tezos to become the club's new training kit sponsor. United have already shot promotional materials at the club's training ground ahead of an announcement #mulive [@TheAthleticUK]
 
Baada ya DXC Tech. sasa ni Tezos wana-join 'the big boys'

United nje ya uwanja hakuna timu inaweza kugusa brand yake, club imesahau mataji lakini bado ni kivutio cha wawekezaji na brand kubwa zinazojitangaza.

Mafanikio haya ndiyo yanatakiwa kuonekana ndani ya uwanja, kushinda mataji makubwa kuende sambamba na hadhi ya brand ya MUFC.

Natamani siku moja kuona United ikiwa chini ya wamiliki mfano wa Man. City, PSG na Newcastle.
20220124_000545.jpg
 
Kwenye kutafuta coach kila mtu na kila shabiki anampendekeza ten hag mpaka raf mwenyewe amempendekeza ten hag sasa maboss wapumbavu wa man u utaona kiama watacho tuletea.

Maana tuna maboss wa pumbavu na washamba tena wajinga takataka.
Nadhani hata Poch mwenyewe anajua vigezo vinapungua. Ndio maana anaachia kazi psg ili iwe sifa ya ziada kuchukuliwa kwa maana ya free agent (cheap and accessible)
 
Sawa kiongoz naona iyo ni twitter account yake na sikuiona iyo post insta mimi huwa namfuatiliaga insta account yake tu, basi ni jambo jema kama hiyo ndio mipango mliyonayo hadi summer mkimsubir new manager ni vizuri kwasababu coach ajae akishindwa ashindwa mwenyew maana mtakua mumempa go ahead asajili watu anaowataka yeye na watakaoendana na mfumo wake.
Na ndio lengo la board kwa sasa, offload wanaotaka kuondoka kocha mpya aje na targets zake kwa maslahi ya team, tumepewa si chini ya wachezaji wa 5 dirisha hili board imekataa, na mikataba yote ya walioondoka wanarudi mwisho wa msimu waje waonane na kocha mpya mwenye kwenda aende mwenye kutaka abaki.. dirisha lijalo litakuwa busy sana upande wetu, ingoings na outgoings nyingi tu
 
Maana yake pre signing ya new manager imefanyika?
Wapo kwenye mchakato na shortlisted candidates washakuwa identified ngoja tuone, kumbuka na kipengele pia cha mkataba wa RR hakimfungi mpaka mwisho wa msimu tu, anaweza kuwa permanent coach wasipopendezwa nae ndio anachukua ile role ya consultancy
 
Binafsi natamani deal la Poch life. Atafute team nyingine.
Natamani machaguo yabaki haya tu!
1. Luis Enrigue (Ngumu kumpata kwasasa)
2. Erik ten Hag
3. Ralf Rangnick
Ten Hag, chaguo la kwanza kabisa kwa makocha waliopo na itakuwa rahisi kwa ukaribu wetu na Van Der Sar ambaye ndio CEO wa Ajax kwa sasa
 
Baada ya DXC Tech. sasa ni Tezos wana-join 'the big boys'

United nje ya uwanja hakuna timu inaweza kugusa brand yake, club imesahau mataji lakini bado ni kivutio cha wawekezaji na brand kubwa zinazojitangaza.

Mafanikio haya ndiyo yanatakiwa kuonekana ndani ya uwanja, kushinda mataji makubwa kuende sambamba na hadhi ya brand ya MUFC.

Natamani siku moja kuona United ikiwa chini ya wamiliki mfano wa Man. City, PSG na Newcastle.View attachment 2106652
United ina mashabiki zaidi ya 700M duniani.

Hakuna anaetukaribia. Ndo maana bado inaweza kufanya vizuri nje ya uwanja.
 
🗣 | Rangnick: “I think he’s definitely ready for tomorrow and, since Fred only came back yesterday with jet-lag, as he played for Brazil, for me, it is quite logical to let Paul play, to see how he is doing and what kind of level he can play.”

“What I’ve seen in training is promising and now it’s up to him to show up on the big pitch, in the big competitions we’re still in. Like everybody, I’m very excited by what he can give to the team and which kind of level he can play.”

“What I’ve seen so far, with regard to his physique, his physical presence, the technical assets he has, I think his best position is a central midfield position. I don’t see him that much as a winger. By saying that, I wouldn’t say he cannot at all play that position, but we have quite a few players for the winger position right now. I see his best possible position as central midfield, if it’s a number six or an eight, I have to see. I haven’t seen him play so far. If you ask me right now, probably the number eight position."

"I will be excited myself to see how Paul is doing and, like all the other players, for me, he is now a new player," he stated. "He can show me and the team and the fans and everybody in England how good and at what kind of level he can play. We shall wait and see what he can deliver." #mufc #manutd
#MAK
 
Back
Top Bottom