Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

jamaa tayari amekamatwa.
20220130_222843.jpg
 
Hii generation z ni ya kifala sana kuna watu ningekuwa nao karibu ningepiga makofi wakaungane na ex wa Greenwood. Tupo kizazi ambacho watu wanatumia kila jambo kupata attention ya watu ili kujikusanyia followers na likes.

Ndiyo Greenwood huenda kakosea (bado hajakutwa na hatia) ila chuki waliyonayo watu wa mitandaoni imezidi, kizazi hiki kimejaa sana chuki. Twitter kuna trend mashabiki wengi huwa wanafungua accounts za wachezaji na timu wanazozipenda na huwa wanatumia hizo accounts kufanya banters kitu kinachofanya kuwa maarufu mitandaoni sasa kwenye hii issue ya Greenwood ndiyo wameshika bango wana-tweet upuuzi tu maana hawana contents za maana.

Imefika Tiktok sasa hivi wana-edit video za Greenwood na vinyimbo vya huzuni. The actual f*ck is wrong with this generation!?

Dogo anapita kwenye moto mkali sana, niliona hata IG yake aliamua kufunga comments.
 
Hii generation z ni ya kifala sana kuna watu ningekuwa nao karibu ningepiga makofi wakaungane na ex wa Greenwood. Tupo kizazi ambacho watu wanatumia kila jambo kupata attention ya watu ili kujikusanyia followers na likes.

Ndiyo Greenwood huenda kakosea (bado hajakutwa na hatia) ila chuki waliyonayo watu wa mitandaoni imezidi, kizazi hiki kimejaa sana chuki. Twitter kuna trend mashabiki wengi huwa wanafungua accounts za wachezaji na timu wanazozipenda na huwa wanatumia hizo accounts kufanya banters kitu kinachofanya kuwa maarufu mitandaoni sasa kwenye hii issue ya Greenwood ndiyo wameshika bango wana-tweet upuuzi tu maana hawana contents za maana.

Imefika Tiktok sasa hivi wana-edit video za Greenwood na vinyimbo vya huzuni. The actual f*ck is wrong with this generation!?

Dogo anapita kwenye moto mkali sana, niliona hata IG yake aliamua kufunga comments.
we unadhani mpaka man kuamua kutoa tamko kabla ya uchunguzi itakuwa wamekosea ?
 
we unadhani mpaka man kuamua kutoa tamko kabla ya uchunguzi itakuwa wamekosea ?
Hiyo ilikuwa ni lazima maana ana mashitaka ndiyo maana wanasubiri mpaka uchunguzi ukamilike kama wangekuwa na uhakika wangeshavunja mkataba naye.

Mpaka sasa Greenwood hana hatia, kinachonikera ni kuona watu wameshamhukumu bila kujua undani wa kilichotokea. Tupo kwenye kizazi cha kipuuzi sana, chuki imetawala na watu kushadadia mambo wasiyoyajua mitandaoni.

Juzi-juzi hapa kuna video ya ngono ilisemekana ni ya mwanahabari imevuja watu walishika mabango sana ni yeye ni yeye sasa hivi ukweli umejulikana video ni pornstars huko pornhub tayari image yake ikiwa imechafuliwa.
 
Wazungu nao wana mambo ya kipuuzi, mambo ya kupeana vitasa mbona kawaida kwenye mahusiano, why wamuandame dogo kana kwamba hakuna mwanamke amewahuli chezea vitasa.

Wengine wanataka man utd imteme dogo what a f*ckng nonsense, we still need him no matter what happen..
 
nyie nyumbu mpaka mmeamua kumu unfollow katika kipindi anachopitia ...

Kwa hiyo Yale magoli yake mmesahau mmesahau lile goli alilopiga wakati wolves wamewakamia akawapa point 3 ,mnataka awe na stress akafie jela ..

Machezaji yenu nayo makolo tu et yana mu unfollow kudadeki kabisa ....Mimi kama greenwood nahama na Hilo fakin club nikitoka jela ....
 
Hiyo ilikuwa ni lazima maana ana mashitaka ndiyo maana wanasubiri mpaka uchunguzi ukamilike kama wangekuwa na uhakika wangeshavunja mkataba naye.

Mpaka sasa Greenwood hana hatia, kinachonikera ni kuona watu wameshamhukumu bila kujua undani wa kilichotokea. Tupo kwenye kizazi cha kipuuzi sana, chuki imetawala na watu kushadadia mambo wasiyoyajua mitandaoni.

Juzi-juzi hapa kuna video ya ngono ilisemekana ni ya mwanahabari imevuja watu walishika mabango sana ni yeye ni yeye sasa hivi ukweli umejulikana video ni pornstars huko pornhub tayari image yake ikiwa imechafuliwa.
Ni kawaida kwenye social media, negative news zinatembea kama umeme kuliko positive news.

Greenwood angekuwa amenunua nyumba mpya, hakuna angejali.

Hiyo ipo dunia nzima, sio greenwood, hata awe nani, negative news lazima ziwe na nguvu sana.
 
Nachojua dirisha dogo alijawai kuisaidia timu ikafanya vizuri ndo maana timu nyingi azionagi umuhimu wa kusajili dirisha dogo maana nikuja kuivuruga timu.
Kweli ndugu zetu mumeishiwa aisee...yaan hadi yule dogo zakaria mulimtaka and this time mkashindwa kumsajili kweli...TENA JUVE WAMEMPATA HUYO DOGO KWA PESA NDOGO SANA...angewasaidia sana kwenye middle yenu. Dah!...Wakuu WHAT'S GONE WRONG IN TRAFFORD???.
20220131_174154.jpg
 
Hiyo ilikuwa ni lazima maana ana mashitaka ndiyo maana wanasubiri mpaka uchunguzi ukamilike kama wangekuwa na uhakika wangeshavunja mkataba naye.

Mpaka sasa Greenwood hana hatia, kinachonikera ni kuona watu wameshamhukumu bila kujua undani wa kilichotokea. Tupo kwenye kizazi cha kipuuzi sana, chuki imetawala na watu kushadadia mambo wasiyoyajua mitandaoni.

Juzi-juzi hapa kuna video ya ngono ilisemekana ni ya mwanahabari imevuja watu walishika mabango sana ni yeye ni yeye sasa hivi ukweli umejulikana video ni pornstars huko pornhub tayari image yake ikiwa imechafuliwa.
Alafu unakuta ni kidume kabisa anashadadia eti dogo kazingua as if hawajui mademu walivyo wasenge.
 
Back
Top Bottom