Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo, mwaka mmoja uliopita
skysports-___CZeBgPDooeM___-.jpg
 
Kweli ndugu zetu mumeishiwa aisee...yaan hadi yule dogo zakaria mulimtaka and this time mkashindwa kumsajili kweli...TENA JUVE WAMEMPATA HUYO DOGO KWA PESA NDOGO SANA...angewasaidia sana kwenye middle yenu. Dah!...Wakuu WHAT'S GONE WRONG IN TRAFFORD???.
View attachment 2102888
Chief unaelewa lugha lakini au tukutafsirie kidogo? Au una uelewa kidogo wa maswala ya usajili? Au unawafaham wataalam wa maswala ya usajili kama huyo bwana hapo unayemuona?
20220202_201356.jpg
 
United wakimchukua Poch na City wakamchukua Ten Hag. Hatutaiona EPL for the forseeable future.

Poch ni Ole mwenye experience.
Nashangaa sana wanao mfikiria pochetino yaani uwezo wake ni average kwa ile PSG tu anateseka
Hakuna kocha pale
 
Chief unaelewa lugha lakini au tukutafsirie kidogo? Au una uelewa kidogo wa maswala ya usajili? Au unawafaham wataalam wa maswala ya usajili kama huyo bwana hapo unayemuona? View attachment 2105628
Sawa kiongoz naona iyo ni twitter account yake na sikuiona iyo post insta mimi huwa namfuatiliaga insta account yake tu, basi ni jambo jema kama hiyo ndio mipango mliyonayo hadi summer mkimsubir new manager ni vizuri kwasababu coach ajae akishindwa ashindwa mwenyew maana mtakua mumempa go ahead asajili watu anaowataka yeye na watakaoendana na mfumo wake.
 
Back
Top Bottom