Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Yes,usijekuta demu kapigwa chini akaamua aje na huu mchongo kumuharibia dogo.kiukweli simtetei Greenwood, ila haya mambo yasikieni tu, pengine mwanamke anafanya maksudi kabisa akiwa na malengo yake, mpaka anaamua kurekodi kila kitu hili apate ushahidi, huwezi jua, ukisha kuwa maarufu inakubidi uishi kwa umakini sana, hasa suala la wanawake, uzuri ni kwamba wenzetu wanafuata misingi ya sheria, tusubiri kila kitu kitakuwa wazi.
Vyombo nadhani vitafanya uchunguzi fresh kuhusu hizi allegations


