wacha tuone labda donny na lingard wakitoka watasajili ila tusiwe na matumaini sanaHuwa wananikera sana na hii tabia yao.
Utadhani wao ndio wanaongoza ligi kwa point 20+ kwa jinsi walivyo kimya kwenye hili dirisha.
Bado siku 5 tuendelee na McFred yetu plus the walking Matic

