The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Ni ukweli mtupuNilikuwa najiuliza inakuwaje Fred anaanza Brazil kwa recent performance yake ila nimepata jibu kuwa Brazil hawana watu kabisa zama hizi.
Ni ukweli mtupuNilikuwa najiuliza inakuwaje Fred anaanza Brazil kwa recent performance yake ila nimepata jibu kuwa Brazil hawana watu kabisa zama hizi.
Hata mm mpenzi wa Pess 2021 huwa sipendi kuwa na lundo la wachezaji mana wananipa shida kufanya rotation, so kwa idea hyo naona ningekuwa kocha pia nisingependa kuwa na kundi kubwa la wachezaji.Kikosi kikiwa kikubwa sana kama chetu maana yake unakuwa na kundi kubwa la fringe players.
Hawa wanatengeneza blind belief uamini kama una kikosi kipana ila kiuhalisia unaweza kukuta una wachezaji 11 tu unaowaamini zaidi.
Makocha wengi wazuri huwa hawapendi kufanya kazi na kundi kubwa sana la wachezaji hasa hasa wakienda sana ni wachezaji 26 tu. Wanaojazia nafasi ni vijana wadogo u-20.
Mm pia.mimi kama shabiki yake nimefurahi sana
Klopp's Liverpool can be taken as an example.Kikosi kikiwa kikubwa sana kama chetu maana yake unakuwa na kundi kubwa la fringe players.
Hawa wanatengeneza blind belief uamini kama una kikosi kipana ila kiuhalisia unaweza kukuta una wachezaji 11 tu unaowaamini zaidi.
Makocha wengi wazuri huwa hawapendi kufanya kazi na kundi kubwa sana la wachezaji hasa hasa wakienda sana ni wachezaji 26 tu. Wanaojazia nafasi ni vijana wadogo u-20.
Brazil wamepotea..vipaji vimepotea kwa kweli.Brazil ya sasa hivi hata Uingereza wana timu nzuri kuzidi wao.
Kikosi chao cha kwanza wachezaji 5 wanaoanza panga pangua wanacheza PL.
Miaka hii ni ngumu kupata namba timu za taifa za ulaya kuliko timu za amerika kusini.
Can you imagine mchezaji kama Coutinho bado anaitwa timu ya taifa na anacheza.
Yes.Klopp's Liverpool can be taken as an example.
Makocha wazuri hawapendi kundi kubwa la wachezaji.Hata mm mpenzi wa Pess 2021 huwa sipendi kuwa na lundo la wachezaji mana wananipa shida kufanya rotation, so kwa idea hyo naona ningekuwa kocha pia nisingependa kuwa na kundi kubwa la wachezaji.
Haka katoto mbona kana mbanga za kijinga..Mason Greenwood, inawezekana akakumbana na yaliyomkuta Benjamin Mendy......Ex girlfriend wake amepost hizo video, audio clips za jamaa na picha za kuvimba ngozi kuwa jamaa alimpiga akimlazimisha sex kunaweza kuwa na charging of rape kwa mason.....
Mchezaji aliekuwa mzuri, anapotea... Finally atakaa sub sasa kama sio jela View attachment 2100854View attachment 2100855
Dogo kaisha. Mifano hai ipo ya mastaa waliowahi kunyanyasa wanawake na wakapotea. Amezingua big time.Mason Greenwood, inawezekana akakumbana na yaliyomkuta Benjamin Mendy......Ex girlfriend wake amepost hizo video, audio clips za jamaa na picha za kuvimba ngozi kuwa jamaa alimpiga akimlazimisha sex kunaweza kuwa na charging of rape kwa mason.....
Mchezaji aliekuwa mzuri, anapotea... Finally atakaa sub sasa kama sio jela View attachment 2100854View attachment 2100855
kwa hizo taarifa kuna uwezekano ikawa kweli, na hata ikiwa sio kweli basi itachukua muda kiasi wakati upelelezi unaendelea....Haka katoto mbona kana mbanga za kijinga..
Mtu una hela unalazimilisha sex kweli..hii itammaliza kabisa uwanjani if it's true.
na hivi sio mzungu pure kazi anayo.... sijui kama atakuwa na mwisho mzuri kwenye career yake Ole alijitahidi sana kumfichia madhaifu yake na tuhuma zake.Dogo kaisha. Mifano hai ipo ya mastaa waliowahi kunyanyasa wanawake na wakapotea. Amezingua big time.
Inawezekana wakamsimamisha na wakamtoa katika picha zote za kibiashara [promotions etc],Man Utd: "We are aware of images and allegations circulating on social media. We will not make any further comment until the facts have been established. Manchester United does not condone violence of any kind."
Greenwood ameua career yake. Bonge la player ila utoto unakwamisha ndoto zake, kashfa itamuandama sana aiseeMason Greenwood, inawezekana akakumbana na yaliyomkuta Benjamin Mendy......Ex girlfriend wake amepost hizo video, audio clips za jamaa na picha za kuvimba ngozi kuwa jamaa alimpiga akimlazimisha sex kunaweza kuwa na charging of rape kwa mason.....
Mchezaji aliekuwa mzuri, anapotea... Finally atakaa sub sasa kama sio jela View attachment 2100854View attachment 2100855
Chris Brown mpaka leo kashfa ile inamu hunt, dogo amepotea kabisa aiseeDogo kaisha. Mifano hai ipo ya mastaa waliowahi kunyanyasa wanawake na wakapotea. Amezingua big time.
Yaani wazungu hawana masikhara kabisa katika haya mambo.. dogo ndio mwisho hivo yaani, mikataba, commercial deals, public image n.k vyote huwa ni mwisho na jela juu, akija kutoka mpaka akae form atacheza sana ligi za daraja la 4 na conference kule.. kazi anayoInawezekana wakamsimamisha na wakamtoa katika picha zote za kibiashara [promotions etc],
Inawezekana pia, akikutwa na hatia wakavunja mkataba wake.
Aliambiwa sana afocus na soka toka suala lake na phoden kwenye kambi ya England....ila naona aliweka pembeni shauri zote.