Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kikosi kikiwa kikubwa sana kama chetu maana yake unakuwa na kundi kubwa la fringe players.

Hawa wanatengeneza blind belief uamini kama una kikosi kipana ila kiuhalisia unaweza kukuta una wachezaji 11 tu unaowaamini zaidi.

Makocha wengi wazuri huwa hawapendi kufanya kazi na kundi kubwa sana la wachezaji hasa hasa wakienda sana ni wachezaji 26 tu. Wanaojazia nafasi ni vijana wadogo u-20.
Hata mm mpenzi wa Pess 2021 huwa sipendi kuwa na lundo la wachezaji mana wananipa shida kufanya rotation, so kwa idea hyo naona ningekuwa kocha pia nisingependa kuwa na kundi kubwa la wachezaji.
 
Kikosi kikiwa kikubwa sana kama chetu maana yake unakuwa na kundi kubwa la fringe players.

Hawa wanatengeneza blind belief uamini kama una kikosi kipana ila kiuhalisia unaweza kukuta una wachezaji 11 tu unaowaamini zaidi.

Makocha wengi wazuri huwa hawapendi kufanya kazi na kundi kubwa sana la wachezaji hasa hasa wakienda sana ni wachezaji 26 tu. Wanaojazia nafasi ni vijana wadogo u-20.
Klopp's Liverpool can be taken as an example.
 
Brazil ya sasa hivi hata Uingereza wana timu nzuri kuzidi wao.

Kikosi chao cha kwanza wachezaji 5 wanaoanza panga pangua wanacheza PL.

Miaka hii ni ngumu kupata namba timu za taifa za ulaya kuliko timu za amerika kusini.

Can you imagine mchezaji kama Coutinho bado anaitwa timu ya taifa na anacheza.
Brazil wamepotea..vipaji vimepotea kwa kweli.
 
Manchester United are prepared to accept Bordeaux loan proposal for Phil Jones. It’s now up to the player for final ‘green light’ to complete the deal soon. #MUFC

Bordeaux are confident as they’re not paying any loan fee.
 
Mason Greenwood, inawezekana akakumbana na yaliyomkuta Benjamin Mendy......Ex girlfriend wake amepost hizo video, audio clips za jamaa na picha za kuvimba ngozi kuwa jamaa alimpiga akimlazimisha sex kunaweza kuwa na charging of rape kwa mason.....

Mchezaji aliekuwa mzuri, anapotea... Finally atakaa sub sasa kama sio jela
20220130_111048.jpg
Screenshot_20220130-110906_Twitter%20Lite.jpg
 
Mason Greenwood, inawezekana akakumbana na yaliyomkuta Benjamin Mendy......Ex girlfriend wake amepost hizo video, audio clips za jamaa na picha za kuvimba ngozi kuwa jamaa alimpiga akimlazimisha sex kunaweza kuwa na charging of rape kwa mason.....

Mchezaji aliekuwa mzuri, anapotea... Finally atakaa sub sasa kama sio jela View attachment 2100854View attachment 2100855
Haka katoto mbona kana mbanga za kijinga..

Mtu una hela unalazimilisha sex kweli..hii itammaliza kabisa uwanjani if it's true.
 
Mason Greenwood, inawezekana akakumbana na yaliyomkuta Benjamin Mendy......Ex girlfriend wake amepost hizo video, audio clips za jamaa na picha za kuvimba ngozi kuwa jamaa alimpiga akimlazimisha sex kunaweza kuwa na charging of rape kwa mason.....

Mchezaji aliekuwa mzuri, anapotea... Finally atakaa sub sasa kama sio jela View attachment 2100854View attachment 2100855
Dogo kaisha. Mifano hai ipo ya mastaa waliowahi kunyanyasa wanawake na wakapotea. Amezingua big time.
 
Haka katoto mbona kana mbanga za kijinga..

Mtu una hela unalazimilisha sex kweli..hii itammaliza kabisa uwanjani if it's true.
kwa hizo taarifa kuna uwezekano ikawa kweli, na hata ikiwa sio kweli basi itachukua muda kiasi wakati upelelezi unaendelea....

Ndio maana hata perfomance ya shida, uchoyo uwanjani
 
Kwa hiyo mmeona hampati matokeo mkaanza kupiga watu???
Tena wanawake???
 
Man Utd: "We are aware of images and allegations circulating on social media. We will not make any further comment until the facts have been established. Manchester United does not condone violence of any kind."
Inawezekana wakamsimamisha na wakamtoa katika picha zote za kibiashara [promotions etc],

Inawezekana pia, akikutwa na hatia wakavunja mkataba wake.

Aliambiwa sana afocus na soka toka suala lake na phoden kwenye kambi ya England....ila naona aliweka pembeni shauri zote.
 
Mason Greenwood, inawezekana akakumbana na yaliyomkuta Benjamin Mendy......Ex girlfriend wake amepost hizo video, audio clips za jamaa na picha za kuvimba ngozi kuwa jamaa alimpiga akimlazimisha sex kunaweza kuwa na charging of rape kwa mason.....

Mchezaji aliekuwa mzuri, anapotea... Finally atakaa sub sasa kama sio jela View attachment 2100854View attachment 2100855
Greenwood ameua career yake. Bonge la player ila utoto unakwamisha ndoto zake, kashfa itamuandama sana aisee
 
Inawezekana wakamsimamisha na wakamtoa katika picha zote za kibiashara [promotions etc],

Inawezekana pia, akikutwa na hatia wakavunja mkataba wake.

Aliambiwa sana afocus na soka toka suala lake na phoden kwenye kambi ya England....ila naona aliweka pembeni shauri zote.
Yaani wazungu hawana masikhara kabisa katika haya mambo.. dogo ndio mwisho hivo yaani, mikataba, commercial deals, public image n.k vyote huwa ni mwisho na jela juu, akija kutoka mpaka akae form atacheza sana ligi za daraja la 4 na conference kule.. kazi anayo
 
Back
Top Bottom