Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Akili poa hii.Inasemekana yeye mwenyewe alikubaliana na uongozi wa juu wasiongeze mtu kikosini mpaka majira ya kiangazi hatma ya kocha wa kudumu ikiamuliwa. Priority ni top 4.
Hata negotiations za mikataba zote zimewekewa pending status. Wachezaji wanaotolewa kwa mkopo pia haijumuishi buy option clause kwa timu wanazojiunga nazo.
Inatufanya tusiingie gharama zisizo na maana.

