Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ronaldo hawezi kuanzia bench. Yani mpaka Ronaldo anasaini mkataba bila shaka moja ya vitu wamezingatia ni yeye kupata muda wa kutosha kucheza hata mshahara wake ni wa mtu anayetakiwa kucheza.

Mimi naamini Ronaldo kuwa chini ya kiwango inachangiwa na wachezaji wanaomzunguka. Ronaldo huyuhuyu ukimpeleka City utatamani awe kwenye timu yako. Manchester United matokeo yake mengi yanaamuliwa na individual brilliance na siyo kama team rejea mechi za UCL mpaka tulipofika ni kwasababu ya Ronaldo.

Kama Manchester United ingekuwa inacheza jinsi a proper football club should play usingeona madhaifu ya Ronaldo au kusingekuwa kabisa na huu mjadala. Kucheza kama team ni pamoja na kufukia makosa ya mwenzio na hicho kitu tunakikosa. Club kama Leeds au Brentford zina average players wengi lakini wanacheza kwa umoja.
Mimi binafsi nnashangaa hizi chuki zote kwa Ronaldo zinatokea wapi?
Changamoto iliyopo sasa ni kwa wachezaji wote kwenye timu ukimuondoa kipa.
Anachopitia Ronaldo hakina tofauti na alichokua anapitia Messi kwenye timu ya taifa mpaka akataka kutundika daruga.
Hatuko imara kwenye beki, viungo wala washambuliaji.
Upandae wa kocha nae mpaka leo hii haijulikani anatumia mfumo gani.
Nnasisitiza tena hawa wageni wetu RR na CR wazidi kupewa muda.
Kingine Ronaldo usuper star wake usimfanye akajiona yeye ni mkubwa kuliko timu kwa hilo hatutamvumilia, pamoja na usuper star wake nidhamu yake ndio itaongeza mapenzi kwa mashabiki, ila akituletea dharau zake atajuta kutufahamu mashabiki wa United.
 
top 6 contenders ole aliwafksha nafas ya pili mkamfukuza uyu philosopher anawapeleka ueropa
 
Mnachekesha sn, ni kwamba hamjui mpira au kiburi tu, cr7 na Messi impact zao zilishatoka uwanjani now zipo kwenye timu nzima, fans hawataki kusikia kuhusu hao wachezaji wawili whether wacheze vzr au vby unatakiwa kuwabembeleza mana wanapochukia wao unaweza kuharibu ari ya timu, hilo mtake msitake liko hivyo na haliwezi kubadilika.
So boss unaona sawa mchezaji kuwa juu ya timu na kuharibu timu nzima?

Kumpenda Ronaldo kusiwe sababu ya kushabikia kila kitu mbona hata mimi namkubali na nilitafatana nae Madrid, Juventus, hata alipokuja nilifurahi ila baada ya kuona kinachofanyika isiwe sababu ya kufumbia macho.

Tunaangalia Man U sio Ronaldo.
Man U ndio tunashabikia Sio Ronaldo kwa sasa. Labda alipokua huko Juventus Madrid tulikua tunashabikia Ronaldo

Kaja timu nayoishabikia so nashabikia timu.

Nataka timu iwe na performance nzuri sio Ronaldo kunprove wrong,
Ronaldo anaweza kuniprove wrong na magoli mengi ila Man U itakua wapi?

Mzee usituone hivi eti hatumpendi asee, tunaangalia Man U na Right now timu inahitaji watu kweli kweli, sio attitude kila siku.
 
Ronaldo hawezi kuanzia bench. Yani mpaka Ronaldo anasaini mkataba bila shaka moja ya vitu wamezingatia ni yeye kupata muda wa kutosha kucheza hata mshahara wake ni wa mtu anayetakiwa kucheza.

Mimi naamini Ronaldo kuwa chini ya kiwango inachangiwa na wachezaji wanaomzunguka. Ronaldo huyuhuyu ukimpeleka City utatamani awe kwenye timu yako. Manchester United matokeo yake mengi yanaamuliwa na individual brilliance na siyo kama team rejea mechi za UCL mpaka tulipofika ni kwasababu ya Ronaldo.

Kama Manchester United ingekuwa inacheza jinsi a proper football club should play usingeona madhaifu ya Ronaldo au kusingekuwa kabisa na huu mjadala. Kucheza kama team ni pamoja na kufukia makosa ya mwenzio na hicho kitu tunakikosa. Club kama Leeds au Brentford zina average players wengi lakini wanacheza kwa umoja.
Kuna mtu pia atasema hata Maguire au Fred wakienda City watacheza vizuri..

Tusitafute excuses nyingi..

Udhaifu wa Ronaldo ni kwenye general link-up play..kashachoka..tukiukataa huu ukweli tutakuwa tunafanya makosa makubwa.

Next season kama atakuwepo basi inabidi awe mtu wa kucheza dakika 20 na mechi chache..Tutafute proper no9 mwenye quality zote.
 
Kuna mtu pia atasema hata Maguire au Fred wakienda City watacheza vizuri..

Tusitafute excuses nyingi..

Udhaifu wa Ronaldo ni kwenye general link-up play..kashachoka..tukiukataa huu ukweli tutakuwa tunafanya makosa makubwa.
Kuna watu hawaelewi asee.

Tupo tunaangalia Man U overall sio individual performance.
Tunataka Man U iwe threat ulaya nzima.
Iwe contender wa makombe. Sasa unakuja kikosi kimejaa mafaza na matoto majinga.

Tunajaribu kuwakemea tunaambia pro messi, mara tuna chuki.

Hakuna mwenye chuki hapa, we want man U to do better ambayo inakuja kwa players kupigania timu, sio kula Mshahara na kujiona staa so ufanye utakavyo.

Tutafika kweli?

Eti kubembeleza Ronaldo sub
Kumbembeleza Rashford arudi kwenye form
Kuvumilia uchoyo na ubinafsi wa Mason
Kuchekea chekea kina Pogba, Martial
Kukomaa na Lingard na Jones.

Hivyo vitu havina afya kwa future ya Club ndio maana mashabiki tunawakalia kooni.

Tatizo wanaoshabikia mchezaji mmoja tu Ronaldo wanatuona tuna chuki, hata akifunga alafu tulose wao hawana shida washaridhika na watasema hatujashinda coz tuna virashford na maguire.

Unbelievable
 
Kuna mtu pia atasema hata Maguire au Fred wakienda City watacheza vizuri..

Tusitafute excuses nyingi..

Udhaifu wa Ronaldo ni kwenye general link-up play..kashachoka..tukiukataa huu ukweli tutakuwa tunafanya makosa makubwa.

Next season kama atakuwepo basi inabidi awe mtu wa kucheza dakika 20 na mechi chache..Tutafute proper no9 mwenye quality zote.
Case ya Ronaldo na Maguire au Fred ni vitu tofauti kabisa. Ni rahisi offensive player ku-perform vizuri kulingana na mfumo au aina ya wachezaji anaocheza nao. Defensive player kama hajui vitu basics tu hata umpeleke wapi atashindwa ku-improve performance yake.

Ronaldo bado ni mshambuliaji mzuri ila kuna baadhi ya vitu haviwezi tena kama kuendana na speed ya mchezo, kumiliki mpira n.k. sasa kwa timu kama United lazima aonekane mzigo ila akienda timu kama Man. City kwa style yao ya uchezaji Ronaldo lazima ata-shine.

Man. City sifa zao kuu ni kumiliki mpira, kushambulia pamoja na kutengeneza nafasi nyingi za kufunga. Ronaldo ni mtegeaji mzuri anajua kuji-position ndiyo maana magoli yake mengi ni ya tap in (haters wake hawapendi hii) sasa jiulize kwenye mechi ya juzi first half ulitaka Ronaldo afanye nini uwanjani kama viungo na mawinga wanashindwa kutengeneza nafasi za kufunga kwa mshambuliaji wao. I don't expect anything from Ronnie zaidi ya kufunga, kwa age yake na kikosi anachocheza nacho hakimpi nafasi nyingi za kucheka na nyavu.
 
Case ya Ronaldo na Maguire au Fred ni vitu tofauti kabisa. Ni rahisi offensive player ku-perform vizuri kulingana na mfumo au aina ya wachezaji anaocheza nao. Defensive player kama hajui vitu basics tu hata umpeleke wapi atashindwa ku-improve performance yake.

Ronaldo bado ni mshambuliaji mzuri ila kuna baadhi ya vitu haviwezi tena kama kuendana na speed ya mchezo, kumiliki mpira n.k. sasa kwa timu kama United lazima aonekane mzigo ila akienda timu kama Man. City kwa style yao ya uchezaji Ronaldo lazima ata-shine.

Man. City sifa zao kuu ni kumiliki mpira, kushambulia pamoja na kutengeneza nafasi nyingi za kufunga. Ronaldo ni mtegeaji mzuri anajua kuji-position ndiyo maana magoli yake mengi ni ya tap in (haters wake hawapendi hii) sasa jiulize kwenye mechi ya juzi first half ulitaka Ronaldo afanye nini uwanjani kama viungo na mawinga wanashindwa kutengeneza nafasi za kufunga kwa mshambuliaji wao. I don't expect anything from Ronnie zaidi ya kufunga, kwa age yake na kikosi anachocheza nacho hakimpi nafasi nyingi za kucheka na nyavu.
Sasaaa, wewe unaona mfumo wa kocha unaruhusu kuwa na mchezaji aina ya Ronaldo, nimemsikia anazungumzia mambo ya counter attach, unamuona Ronaldo ana counter attach?

Anazungumzia intensity, being physical etc, unaona Ronaldo anahizo profiles? sasa kwa nini apangwe?

mimi nimekuelewa kwenye issue ya kwamba mkataba unataka lazima apangwe, tena labda unasema lazima acheze dakika tisini (sababu sio kwa kung'aka kule): sasa kama anaona masharti ya mkataba yanakiukwa basi achukue maamuzi?

na kama ni issue ya mshahara, nadhani we can afford the losses, akae benchi. Akae pale benchi mpaka atie akili, Kocha akiona akili yake inatengemaa, kuanzia beheviour mpaka kujiprofile na mfumo wa kocha, ampange, no problem.

lakini mimi ningependa sana kusikia kaambiwa anakaa bench kwa sababu ana negative characters, tena awekwe chini ya uangalizi wa wale masaikologists.

Aaambiwe, kwa sababu ile ni timu, how he relates with his colleagues ni very important kuliko yeye kufunga, aonyeshwe na namna tumefunga goli tano in past two matches na hakufunga yeye.
 
Case ya Ronaldo na Maguire au Fred ni vitu tofauti kabisa. Ni rahisi offensive player ku-perform vizuri kulingana na mfumo au aina ya wachezaji anaocheza nao. Defensive player kama hajui vitu basics tu hata umpeleke wapi atashindwa ku-improve performance yake.

Ronaldo bado ni mshambuliaji mzuri ila kuna baadhi ya vitu haviwezi tena kama kuendana na speed ya mchezo, kumiliki mpira n.k. sasa kwa timu kama United lazima aonekane mzigo ila akienda timu kama Man. City kwa style yao ya uchezaji Ronaldo lazima ata-shine.

Man. City sifa zao kuu ni kumiliki mpira, kushambulia pamoja na kutengeneza nafasi nyingi za kufunga. Ronaldo ni mtegeaji mzuri anajua kuji-position ndiyo maana magoli yake mengi ni ya tap in (haters wake hawapendi hii) sasa jiulize kwenye mechi ya juzi first half ulitaka Ronaldo afanye nini uwanjani kama viungo na mawinga wanashindwa kutengeneza nafasi za kufunga kwa mshambuliaji wao. I don't expect anything from Ronnie zaidi ya kufunga, kwa age yake na kikosi anachocheza nacho hakimpi nafasi nyingi za kucheka na nyavu.
City Ronaldo atashine vipi mkuu?..

Hivi unaonaga fluidity ya City kule mbele kweli??..wanavyointerchange position fasta fasta na uwezo wao wa kuretain mipira??..City hawapo kwenye kucheza na focal point kama Ronaldo,tena Ronaldo huyu aliyechoka tayari..
 
Sevilla still want to sign Manchester United and France forward Anthony Martial, 26, on loan despite having a bid rejected, but could move for another French striker - Lyon's Moussa Dembele, 25 - as an alternative.
 
Sasaaa, wewe unaona mfumo wa kocha unaruhusu kuwa na mchezaji aina ya Ronaldo, nimemsikia anazungumzia mambo ya counter attach, unamuona Ronaldo ana counter attach?

Anazungumzia intensity, being physical etc, unaona Ronaldo anahizo profiles? sasa kwa nini apangwe?

mimi nimekuelewa kwenye issue ya kwamba mkataba unataka lazima apangwe, tena labda unasema lazima acheze dakika tisini (sababu sio kwa kung'aka kule): sasa kama anaona masharti ya mkataba yanakiukwa basi achukue maamuzi?

na kama ni issue ya mshahara, nadhani we can afford the losses, akae benchi. Akae pale benchi mpaka atie akili, Kocha akiona akili yake inatengemaa, kuanzia beheviour mpaka kujiprofile na mfumo wa kocha, ampange, no problem.

lakini mimi ningependa sana kusikia kaambiwa anakaa bench kwa sababu ana negative characters, tena awekwe chini ya uangalizi wa wale masaikologists.

Aaambiwe, kwa sababu ile ni timu, how he relates with his colleagues ni very important kuliko yeye kufunga, aonyeshwe na namna tumefunga goli tano in past two matches na hakufunga yeye.
Ronaldo huyu naona ni mtu ambaye atafurahi akifunga hatrick lakini tukapoteza kwa 4-3...jamaa inaonekana wazi anajiangalia yeye tu.
 
Kuna mtu pia atasema hata Maguire au Fred wakienda City watacheza vizuri..

Tusitafute excuses nyingi..

Udhaifu wa Ronaldo ni kwenye general link-up play..kashachoka..tukiukataa huu ukweli tutakuwa tunafanya makosa makubwa.

Next season kama atakuwepo basi inabidi awe mtu wa kucheza dakika 20 na mechi chache..Tutafute proper no9 mwenye quality zote.
Hakuna mchezaji atafanikiwa pale Utd kwa ss, alafu mashabiki wa Utd wa cku hz wamekuwa hovyo sn hawakubaliani na kila mchezaji, huu ujinga ndio tunaenda nao kwa ss, hizo ndio tabia za cr7, yuko hivyo miaka yote.
 
Sasaaa, wewe unaona mfumo wa kocha unaruhusu kuwa na mchezaji aina ya Ronaldo, nimemsikia anazungumzia mambo ya counter attach, unamuona Ronaldo ana counter attach?

Anazungumzia intensity, being physical etc, unaona Ronaldo anahizo profiles? sasa kwa nini apangwe?

mimi nimekuelewa kwenye issue ya kwamba mkataba unataka lazima apangwe, tena labda unasema lazima acheze dakika tisini (sababu sio kwa kung'aka kule): sasa kama anaona masharti ya mkataba yanakiukwa basi achukue maamuzi?

na kama ni issue ya mshahara, nadhani we can afford the losses, akae benchi. Akae pale benchi mpaka atie akili, Kocha akiona akili yake inatengemaa, kuanzia beheviour mpaka kujiprofile na mfumo wa kocha, ampange, no problem.

lakini mimi ningependa sana kusikia kaambiwa anakaa bench kwa sababu ana negative characters, tena awekwe chini ya uangalizi wa wale masaikologists.

Aaambiwe, kwa sababu ile ni timu, how he relates with his colleagues ni very important kuliko yeye kufunga, aonyeshwe na namna tumefunga goli tano in past two matches na hakufunga yeye.
Mimi nakubaliana kabisa na mnachosema mchango wa Ronaldo kwa timu ni mdogo ila kama mlivyoona wenyewe juzi mpaka kocha imebidi amfuate kuongea naye hiyo ni wazi bado ataendelea kumtumia Ronaldo hata kama hamhitaji kwenye mfumo wake kwasababu tayari kuna mambo Ronaldo ameahidiwa na ni lazima yatimizwe. Kuwa-manage Ronaldo au Messi ni kazi sana kwasababu utakapowaweka bench ni watu wengi hawatakuelewa ila bado nasema United haichezi vizuri kama timu na siyo shida ya Ronaldo peke yake.

Tutegemee kumuona Ronnie zaidi maana hiki kikombe United walikubali wenyewe kukinywa.
 
Official:
Rangnick
confirms Victor Lindelöf will be unavailable to face West Ham so he can support his family following a break-in at his home
 
Rangnick:
"He [Sancho] didn't train yesterday because he still asked us to not train. He attended a funeral on Wednesday, it still affected him quite a lot, he is expected back to training this afternoon at three o'clock."
 
Rangnick: "Maybe Cristiano [Ronaldo] could have also scored the third goal [against Brentford if he had stayed on] but football is not about maybe, it is about taking a decision in the right moment."
 
Rangnick: "[He] is a prolific goalscorer and he's a player that will always want to play and score goals. He was also asking why me 'why didn't you take off one of the younger players?'.
The answer came five minutes later when one of the younger players scored the third goal."
 
Rangnick on Ronaldo:
"The job of a football manager is to help the team win the game and it was clear from our experience at Villa Park that this time we have to do things better. We did it better and the only question was, who do we take off [against Brentford]?"
 
Back
Top Bottom