D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
tupate wadhamini wetu kidogo 😛😛😛Na RB pia, Dalot tukishambuliwa ni pazia.
Fergie aliwahi kum recomend huyu jamaa muda kidogo. Sio mbaya kwa Squad player hasa Vile Lingard, Mata, Pogba na Pengine VDB wakaondoka. Tutahitaji Midfielder angalau watatu.kumbe huku wameiweka hii taarifa, niliwahi kusoma sehemu kipindi kile cha dirisha la usajili.
darren fletcher ndiye anayevutiwa na huyu mchezaji
View attachment 2085059
Awb alikuwa ni 1st choice wa Ole sidhani kama Alifanya makosa kum pick, hasa mfumo wetu wa ku absorb mashambulizi ya wapinzani na Ku counter.
Ila Bruno anastahili bado anakula Mshahara mdogo.klabu imejitengenezea yenyewe tatizo kwa kuwapa kandarasi mpya zenye gharama ya mishahara kwa wachezaji wasiostahiki.
bruno fernandez naye anataka mshahara mkubwa.
View attachment 2085070
kwa nini tulitaka kwenda kwa trippier?Awb alikuwa ni 1st choice wa Ole sidhani kama Alifanya makosa kum pick, hasa mfumo wetu wa ku absorb mashambulizi ya wapinzani na Ku counter.
Replace AwB na Dalot mechi ya Villa tungeshinda.
kumlipa dean henderson mshahara wa paundi laki moja kwa wiki ni makosa makubwa sana.Ila Bruno anastahili bado anakula Mshahara mdogo.
Mpaka leo sitamsamehe aliekuwa anatuaminisha Sancho akija United tutachukua ubingwa.Ndugu zangu tunakwenda kuibiwa tena. Unaambiwa viongozi waandamizi wa klabu wanawahitaji zaidi declan rice na jude bellingham ambao kwa pamoja thamani zao zinaweza kufikia paundi million 150. Ralf anamuhitaji haidara lakini hakuna mchakato wowote ulioanza na sababu kubwa wenye nguvu zao wanalichukulia dirisha hili kuwa ni gumu kufanya biashara. Kuhusu denis zakaria haonekani kuwa ni sehemu ya mipango ya klabu. Habari ndio hiyo.
United bado kuna shida. Tunafahamu RR ni mwalimu wa mpito,lakini kwanini sajili zinafanywa na Fletcher tena kwa kigezo cha uongozi badala ya ubora uwanjani?
Kama Bissaka ndo alikuwa selected out of 800 RBs, unategemea nini?Kuna fan alishauri badala ya Jude na Rice ambao wanapatikana kwa 150M,unaweza kuwapata viungo watatu kwa kiasi chini ya hapo.
Haidara,Neves na Tchouameni.
Man Utd ya sasa ni sawa na mtu hana chakula nyumbani ila anatumia hela yote kununua vocha.Wakati tunaanza msimu wa 2021/22 united fans wengi tulijua madhaifu yetu ni sehemu ya kiungo na kukawa na tetesi nyingi sana zikituhusisha na Ruben Neves. Lakini dirisha likafungwa bila kusajili kiungo yeyote halafu Ole akadai yuko comfortable na waliopo kikosini.
Man utd ni kama huwa hatujitathimini ili kufanya maboresho kulingana na uhitaji.
Mkuu mashabiki wengi humu tuliaminishwa hivyo kuwa Sancho (right wing) is the missing piece of the puzzle hadi tuka risk nafasi ya kiungo kwa ajili yake.Mpaka leo sitamsamehe aliekuwa anatuaminisha Sancho akija United tutachukua ubingwa.
hili swali linapaswa kujibiwa na murtough pamoja na fletcher kwa sababu wao ndio wenye jukumu la kushape structure ya timu ndani ya uwanja. bahati mbaya mpaka sasa sijawahi kukutana na interview yeyote inayomuhusu murtough inayojaribu kuzungumzia mikakati yake akiwa kama director.United bado kuna shida. Tunafahamu RR ni mwalimu wa mpito,lakini kwanini sajili zinafanywa na Fletcher tena kwa kigezo cha uongozi badala ya ubora uwanjani?
Je,akija Poch/Ten Hag akasema hawaendani na mfumo wake tutafanyaje? Au ndio kumwambia afanye kazi na resource iliyopo kisa wao walishatapanya pesa?
mimi nailaumu youtube kwa udanganyifu wao, sikuwahi kumuona sancho akichezaMpaka leo sitamsamehe aliekuwa anatuaminisha Sancho akija United tutachukua ubingwa.