tunacheza ovyo sana hata pasi 5 tunashindwa.....kule mbele ndio kabisa yani move za magoli zikianza basi limoja linapiga pasi za ovyo....
Pasi hatuwezi, position hatuna kiasi kwamba magap meng sana ndani ya timu....
Hivi ndo tulitegemea nasisi tuchukue champions league, kwa tunavyocheza hatufiki popote