Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyo jamaa nimeshangaa sana, yani game imeisha tu anawahi kuja kumlaumu kocha anajua kwenye press, Daah😅.

Hakuna aliyesema kuwa tumecheza vizito, ila nimebaki najiuliza kwamba press ndo zimefanya wachezaji waahindwe kutekeleza majukumu yao? Mechi ndo kwanza ni ya pili , ila ashaanza kilio cha licha.

Apewe yéyé team.
 
Sio kwamba anaongea out of nowhere.

Huwa anaulizwa maswali na waandishi wa habari.

Kwahiyo sijaona baya lolote analosema.
 
Na hizo statements anazitoa anapoulizwa maswali na waandishi. Kwahiyo hana baya lolote.

Hata wakati wa SAF tulicheza hovyo sometimes ila experience ilituokoa.
 
Kama Norwich Tu Nafasi Ya Ishirini Sijui Walikuwa Wanakuja Vile Na Bado Kidogo Wangesawazisha Hao Brentford Sijui Itakuwaje?
 
Rashford sijui atakua lini!?, Anazidiwa utulivu wa akili na Bwana mdogo Sancho! Kocha ampumzishe kama hatobadilika, aendelee na Campaign zake za kijamii.
Tabia yake ya kutaka kuonekana.inatakiwa aache utoto. Jana alipata nafasi mbili akataka kupiga chenga anapotezA. alikuwa hana ushirikiano pale mbele na cr7
 
Man utd ni club kubwa wacha iwaumize vichwa.
Sisi kazi yetu ni kukenua tu kila tunapotia point 3 kibindoni.
 
Man utd ni club kubwa wacha iwaumize vichwa.
Sisi kazi yetu ni kukenua tu kila tunapotia point 3 kibindoni.
Dah,point tatu za kubahatishaa!
Mpira hauvutiii kuangalia,ni kukimbia kimbia tu uwanjanii,mipira inapotea haizidi dk 5,Short on target chache kinouma,off target chache.Ni kukimbia kimbia tu uwanjanii buree na si lengo la kutafuta magolii,magolii yenyewe yakipatikna ya bahati nasibu


Raph alicho faulu ni kuongeza defensive rate(Ukabaji na uzuiaji) dhidi ya timu dhaifu ambacho Sosha ndicho kilicho mfelisha Kwa msimu huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…