Manchester United (Red Devils) | Special Thread

"Erling Haaland will take the next step. Bayern, Real, Barcelona, Man City - these are the big clubs he can join. Man City won the PL five times, significantly more than Man United. When we moved to BVB, we all knew that this step would come".......

Raiola ametuponda kiasi kwa kutuingiza kwenye kauli yake kuhusu Haaland....je hii inamaanisha nini?

Je, man u hawajampa pogba mkataba so raiola amemynd sababu alitegemea tuzame kwenye mtego wake?

Je, man u wamempa pogba mkataba mdogo [sawa na huu wa sasa] hivyo raiola amemynd?

Je, raiola anaitaka man u ipush kwa nguvu kufanikisha usajili wa Haaland ili apate cha juu?

Au man u wameziba milango yote ya mirija kwa raiola kuanzia kwa pogba hadi haaland??

Watajijuaga wenyewe Pogba, Raiola na Haaland.....kibiashara Haaland ni mtu mdogo sana tungeweza kumboost akapata fame tofauti na City ambako nahisi anaelekea
 
Sasa, huyu Guardiola mbona ni kama anatoa kauli kama vile anamaanisha cocha wetu sio lolote si chochote.
 
na haya maneno maneno kwamba Guardiola ndio amefuluence Raff hata kama Raff ndio kawainfluence akina Tuchel na Klopp ni kweli? sababu najisikia kama sipendi iwe hivyo.
 
United limebaki jina tu msee .....

Hakuna lingine la ziada mnaloweza kumshawishi mtu
 
Kumeanza kuwa na tetesi za swap deal la Martial na de jong sababu wote wapo sokoni.....

Inawezekana ni tetesi tu
Martial & Pogba should be released. they have been a failure at man utd, they need an opportunity to advance their career somewhere else, their exist should be a win win move for both parties.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…