Nimemshangaa sana jamaa anahoji kwa team ipi etiBila shaka alimaanisha kama Messi angekuwa bado yupo Barca basi Bayern wangetoa kipigo zaidi ya hiki cha goli 3 maana ni kama wameitumia Barca kutoa hasira zao za kukosa Ballon D'Or, sasa imagine Messi angekuwa ndani lazima wangefanya humiliation.
The Bavarians siyo watu, nashukuru tumemaliza top kwenye group letu maana ingekuwa ni mapema sana kupewa hao watu.
Atawauwa huyu jamaaa hahaha sipati picha huko mazoezini kama wako JKT.Jumapili bosi, leo na kesho Raff yuko na first team full day anasema.
Acha wafe wanalipwa pesa mingi sana bila shurubaAtawauwa huyu jamaaa hahaha sipati picha huko mazoezini kama wako JKT.
Tunacheza na Norwich jumamosi na sio jumapili.Jumapili bosi, leo na kesho Raff yuko na first team full day anasema.
Brentford.Tunacheza na Norwich jumamosi na sio jumapili.
Jumanne tunacheza naLeeds.
Man U wana vyuma sana kwenye academy, wanaotusumbua ni watoto wa Cobham tu kule chelsea ila ndani ya miaka 3 tutakuwa naoWala siyo story za kutunga, dogo kwenye youth level kashashindikana. Jana katupia goli kwenye UYL dk ya 80, kafunga kwenye mechi 6 mfululizo.
Last season mechi 21, magoli 24, assist 6.
Kama atafanya hivi kwenye senior team basi atakuwa ni moja wa graduates bora kuwahi kutokea kwenye MUFC Academy.
"Charlie McNeil scored, water is wet."
View attachment 2037837
Hawa norwich point 3 za wazi kabisaTunacheza na Norwich jumamosi na sio jumapili.
Jumanne tunacheza na Leeds.
sure, ila ninapata wasiwasi jamaa ni mkali sana, sababu kawaka sana kwamba kipindi cha pili na young boys "they didn't follow his instruction", imepelekea VBK kaomba msamaha kwa kuchomesha timu.Atawauwa huyu jamaaa hahaha sipati picha huko mazoezini kama wako JKT.
Sawa kabisa,90% ya kikosi ilikuwa team ya vijana. + wanaongoza group. So wangepoteza au kushinda au draw ilikuwa si game ya presha
Tena mbaya mtu aliyebet kama ajira.Sawa kabisa,
Isipokuwa kwa aliebet..
Presha juuu...
Na goli nyingi pia.Hawa norwich point 3 za wazi kabisa
Hii formation kiboko no fullbacks
Ndo inatakiwa wapo nyoronyoro sana lazima wachangamshwe kidogo.sure, ila ninapata wasiwasi jamaa ni mkali sana, sababu kawaka sana kwamba kipindi cha pili na young boys "they didn't follow his instruction", imepelekea VBK kaomba msamaha kwa kuchomesha timu.
patamu ni pale watakapofuata instructions na bado wafungwe.