Mmmmh haaland kapita hapo kumbeRalf Rangnick's work for RB clubs:
Mukiele 16M€
Werner 14M€
Nkunku 13M€
Haaland 8M
Mané 4M€
Forsberg 3.7M€
Upamecano 2,2M€
Sabitzer 2M€
Keita 1.5M€
Poulsen 1.5M€
Klostermann 1M€
Haidara 800K€
Szoboszlai 500K€
Kimmich 500K€
Demme 350K€
Konaté Free
Genius.View attachment 2023440
Msajilini ila ni mchezaji mzuri sanaMkuuu huyo Gallagher ni Mali hali ya TT hiko kitendo cha ujunjifu wa nyumba za watu utafungwa
Tuchel amshukuru sana Raph, bila ya Raph ungekuta Tuchel mpaka leo ni barmaid uko Stuttgart
Mkuu angalia na vitendea kazi vya Ten Hag halafu na vya Poch utajua nani anakupa output nzuri kwenye mazingira tofauti.Ten Hag profile yake haiwezi kuwa above Valverde au Poch.
1. Valverde, two Laliga titles
2. Poch UCL Final, PSG manager.
Kati yake na Poch nafurahishwa na matunda ya kazi yake kuliko ya Poch.Kwanini??Ten Hag
Mkuu unatakiwa kuangalia na profiles za hizo timu.Mkuu angalia na vitendea kazi vya Ten Hag halafu na vya Poch utajua nani anakupa output nzuri kwenye mazingira tofauti.
Poch katika harakati zake zote na spurs ametumia miaka 3 kufika UCL final na baada ya hapo akapotea baada ya key players kupata majeruhi. Kwa upande wa Ten Hag,karibia kila msimu backbone ya team yake inaondoka lakini anatengeneza timu shindani ndani ya muda mfupi.
Kwa pale Psg bado siwezi kusema kinachofanyika pale ni ubora wa mbinu zake au,ni mapema mno mkuu.
Mimi namuona Pochetino ni mwalimu ambaye hana bahati tu so hata akija United atakuwa busy body baada ya hapo anapoteana tu.Mkuu angalia na vitendea kazi vya Ten Hag halafu na vya Poch utajua nani anakupa output nzuri kwenye mazingira tofauti.
Poch katika harakati zake zote na spurs ametumia miaka 3 kufika UCL final na baada ya hapo akapotea baada ya key players kupata majeruhi. Kwa upande wa Ten Hag,karibia kila msimu backbone ya team yake inaondoka lakini anatengeneza timu shindani ndani ya muda mfupi.
Kwa pale Psg bado siwezi kusema kinachofanyika pale ni ubora wa mbinu zake au,ni mapema mno mkuu.
Our season is already finished anyway..tunahitaji kusecure top four na kusogea mbele kwenye Uefa kwa kumtumia huyu interim..mimi simuelewi huyu interim coach so I real do not any expectations out of him.
Gallagher namuelewa sana huyu dogo.Sioni kama tunasababu zozote za kumuondoa CR7 kwenye kikosi cha United.
Naona watu wa kuondoka ni Cavani na Juan Mata pamoja na Matic hii itatupa nafasi ya kufanya usajili wa maana kuziba mapengo hayo.
Kwa mfano tukimuondoa Juan Mata ni bora kumsajili Jared Bowen wa Westham au Gallagher wa Crystal Palace, au Dominick Szoboszlai wa RB Liepzig.
Tukimuondoa Cavani ni bora tukamsajili Patrick Schik au Halland wa Borussia Dortmund.
Matic lazima aondoke kumpisha mchezaji mwingine ambaye ni solid defensive midfielder.
Kitu kizuri cha Ronaldo over Cavani Ronaldo hana record ya injuries compared to Cavani
Naona Man washampa offer, tunasubiri timu yake ithibitishe tu.Ralf Rangnick's work for RB clubs:
Mukiele 16M€
Werner 14M€
Nkunku 13M€
Haaland 8M
Mané 4M€
Forsberg 3.7M€
Upamecano 2,2M€
Sabitzer 2M€
Keita 1.5M€
Poulsen 1.5M€
Klostermann 1M€
Haidara 800K€
Szoboszlai 500K€
Kimmich 500K€
Demme 350K€
Konaté Free
Genius.View attachment 2023440
Timu yake imefunga goli 500 ndani ya mechi 185.Ngoja nifuatilie mechi a ajax weekend hii
Duh.Ronaldo ajiandae kuondoka mwisho wa msimu huu. Aliyekwenda kumuokoa kaishaondoka.
Ronaldo ni proven player.Ronaldo ajiandae kuondoka mwisho wa msimu huu. Aliyekwenda kumuokoa kaishaondoka.
Hata nyie wapinzani mnashangaa, ofcz jamaa huwa hamkubali cr7 japo yeye ni Utd, hivi kwa jitihada anazofanya Ronaldo pale Utd ni shabiki gani wa Utd anaweza kuthubutu kusema hivyo? Ni yeye pekeeHakuna shabiki wa united anaweza kubali huu upupu
Ila sio gurantee kufanya vizuri sehemu moja utafanya vizuri kwingine.Mkuu angalia na vitendea kazi vya Ten Hag halafu na vya Poch utajua nani anakupa output nzuri kwenye mazingira tofauti.
Poch katika harakati zake zote na spurs ametumia miaka 3 kufika UCL final na baada ya hapo akapotea baada ya key players kupata majeruhi. Kwa upande wa Ten Hag,karibia kila msimu backbone ya team yake inaondoka lakini anatengeneza timu shindani ndani ya muda mfupi.
Kwa pale Psg bado siwezi kusema kinachofanyika pale ni ubora wa mbinu zake au,ni mapema mno mkuu.
Aondoe mizigo ss, kina Matic, Martial, Lingard wanakula pensheni tu pale.hatimaye tumepata type ya kocha ninayemtaka, you loose the ball, you win it and control the game, bravo
Najua hilo.Ogopa matepeli huyo dogo carragher mali ya the blues hauzwi yupo Crystal palace kwa mkopo.
***** kwamba unataka kusemaje?Kwa hiyo tusubiri Jumapili au tuchambue akina Thiago Silva ... Si ndio beki mnayoitegemea. Farmers League reject