Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fukuzia mbali hii taka taka ,,,, !!!! Tena na bench lote limejaa uozo,,, pengine Mike Phelan alitakiwa apewe timu kwa kipindi hiki wakiwa wanatafuta huyo kocha wa MPito wa kumalizia msimu,,, ! Carrick Ni wale wale empty Hana uzoefu,,,,

Anyway,,,, #GGMU
 
Yule kocha wa Ajax naona yupo vizuri sana
 
Taarifa inasema kwamba Ole kaachwa Carrick atashikilia timu kwa muda wakati wanamfikiria kocha wa kuja kukaa na timu mpaka mwisho wa msimu.

Yaani ni kwamba wale waliojiita title contender hawana mpango na ile title kwa msimu huu. Na kumpa timu Carrick mimi naona ni yaleyale tu.
 
Carrick hawezi kuwa kocha kwa zaidi ya wiki mbili..acha masihara..
 
Maximum salary?
 
Blanc nafikiri yuko powa Zidane ile treble ya trophy ndio ina mbeba but si mzuri sna
 
Hii kusema wanatafuta interim coach mpaka mwisho wa msimu Kama nimewaelewa hivi! Yani huenda Kuna kocha pahala wanamvizia na wanaijua contract situation yake,,,,

Tutulize mtori nyama ziko chini ,,,,,
 
Mkuu DNA bila makombe utafika...???

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Zidane hamtaweza kumvumilia kwakua kutokana na kikosi yeye hatoweza kuleta instant success kitu ambacho mashabiki ndicho wanataka so natarajia #ZidaneOut soon baada ya kua appointed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…