Pochettino ana timu kama PSG kwenye ligi ambayo iliondolewa kwenye ligi tano bora (ghafla ikarudishwa) ina wachezaji masuperstar tupu halafu clean sheet tu anaitafuta kwa tochi.Poch kuanzia southampton hadi Tothenham alijenga vikosi vizuri sana na timu zake zilicheza mpira mzuri sana.....tofauti ya Ole na Poch ni kuwa mmoja alifikisha final timu akiwa hajasajili kwa misimu 2 (spurs vs liverpool)....
Pia Tot walikuwa wanacheza mpira mzuri sana chini ya Poch japo falsafa yake haipo clear yani haieleweki kama ni pasi au nini..
.....japo ni attacking football ila haipo well organized kiasi hicho.....
tofauti nyingine ya Ole na Poch ipo katika technical ability haswa tactic yani wanacheza sawa tu ila poch anapata kilichobora kwa wachezaji kuliko ole pia anajua kutumia wachezaji kulingana na ubora wao.....
siunakumbuka dele ali alipanda bei hadi paund mil 100 haha..
anaejua atatuelewesha zaidi.
Mkimpa united na beki ni maguire na shaw kazi ipo.