Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anayekuja kuchukua nafasi ya Ed ni insider pia..jamaa fulani huwa yupo na Ed muda mwingi..

So the cycle continues i think.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
His time is up..

Hawezi kuturn things around..

Afurushwe..I don't even care about him being our legend.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
His time is up..

Hawezi kuturn things around..

Afurushwe..I don't even care about him being our legend.





Sent using Jamii Forums mobile app
Ofcourse lakini kufukuzwa Ole ni December huko baada ya matumaini ya ubingwa kupotea.

Yawezekana wataendelea kutaka apiganie top four kisha mwisho wa msimu watamtimua kazi.

Hawana succession plan na hakuna high profile manager ambaye ni easy pick kwa sasa.

Hivyo tuendelee kuvumilia vipigo, pamoja na hayo mimi nasikitishwa zaidi na namna timu inavyocheza hata academy players wa Nick But wako siriasi kuliko hawa vijana wa Ole.
 
Madogo wa academy wanacheza..hata juzi walishinda Amad alipiga bonge la goli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamara ya kwanza kwenye historia ya hii timu toka ondoke fergie, naona kocha hapendwi na majority.....

Mourinho, van gal. Moyes wote walikuwa na watu weng tu wanawatetea ila Ole wengi wamemkana....hta legend wenzie wameishaanza kumnanga....

Mwisho wa msimu Ole akiwa kocha wetu bado ila tumemaliz nafasi ya 6 atasema "we are going to try again next season, some improvement then we will be ready to go again.....it was not enough but we must prepare for the next season"
 
Anayekuja kuchukua nafasi ya Ed ni insider pia..jamaa fulani huwa yupo na Ed muda mwingi..

So the cycle continues i think.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Kama mfumo wa uongozi utaendelea ule ule tunahitaji kocha mwenye kiburi na mjeuri aina ya Luis Enrique (#1) au Diego Simeone. Hawa baada ya majira ya kiangazi mwakani wanaweza kuachana na majukumu yao ya sasa.

Kwa sasa best option ni kocha wa mpito Carlos Queiroz (yupo timu ya taifa ya Misri) au hata huyu Ralf Rangnick ambaye baadae anaweza kupandishwa cheo kuwa director of football. Anaonekana ni mtu mwenye plan kichwani kwake.
 
Huyu Ralf amewahi kufundisha timu ipi zaidi ya kuwa DoF pale Red Bull Liepzig .?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…