Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780
ichi ndo ki2 pekee mnaweza kupatia ushindi
Sent using motorola 78




dah! Yaan nimecheka sasa punyeto itasaidia kupitisha magoli kwa Tottenham? 


ichi ndo ki2 pekee mnaweza kupatia ushindi
Sent using motorola 78




dah! Yaan nimecheka sasa punyeto itasaidia kupitisha magoli kwa Tottenham? 


Wakuuuu...... Sosha asipopata kiungo mathew flamini au Dany Drinkwater wa kusaidiana na matic pale katikati tumekwisha.
Suala la kumchukua Andy Carol kwa mkopo ni muhimu.






Cr7 anajua snHuyo cr7 kaja kuharibu team ilivokua
Kwa sasa tunamuhitaji zaidi cavani kuliko huyo cr7
Cr7 angeenda strong established teams ambazo zipo strong midfield kushuka mpaka defence mf: man city
Cr7 huyu anakuja kujaza overload kwa kina MCfred ambao watu wenyewe ni tia maji
Quality ya wachezaji wetu wengi ni poor kiasi inabidi team icheze kwa umoja ili tupate matokeo hatuna wachezaji wenye extras kuweza kumuaccomodate ronaldo ambae kwa sasa anategemea team imlishe zaidi kuliko kujitafutia
Kuna uwezo wa kucheza 4,4,2 na cavani aka fit fresh hapo mbele na babu cr7
Mzee afu sijui unajikuta guru wa mpira saaana
Embu tulia basi
Mpiraa wa wotee huu
Haukuzaliwa uutolee maoni tu wewe
Naona ka change fomesheni.
La kumfukuza OleSpurs tunaomba mtufanyie wepesi katika jambo letu leo
Ole hafukuzwi bado yupo yupo sanaLa kumfukuza Ole
NaaamLa kumfukuza Ole