francis kibiki
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 477
- 521
I think umeona tofauti ,Bayern kuchukua Bundesliga sio mafanikio but United kuchukua EPL ni mafanikio makubwaBuyern kuchukuwa ubingwa wa Ujerumani siyo mafanikio ya kueleza hadharani, alikuta timu ambayo imetoka kubeba vikombe vyote vya Ulaya, UEFA hakufanya lolote.
Sikubalini nawe kuwa Conte amespend sana akasababisha madeni makubwa akiwa Inter, wachezaji walionunuliwa kwa hela nyingi ni Lukaku £75m ,Barela Hakimi £36m na wamewauza kwa faida kubwa baada ya miaka 2 tu Lukaku £97m Hakimi £51m ,valuation ya Barella kwa sasa si chini ya £60m wachezaji wengi walikuwa wa bei chee Vidal,Sanchez,Kolarov,Godin walikuwa free agents huwezi linganisha na wachezaji walionunuliwa na United kipindi hicho .Wakati OGS anapewa kazi ulituambia anarudisha DNA ya United lakini its almost miaka 4 amefeli .I think United need changes from the management na wanahitaji kocha ambaye anaweza kuwaeleza ukweliConte pia amespend sana Inter mpaka club ina deni kubwa sana.
Kwa miaka 5 iliopita Conte anashika nafasi ya 3 duniani kwa Spendings kubwa Nyuma ya Pep Na velverde. Amespend Takriban Euro 677 million, Roughly Euro milioni 120 kila msimu, hivyo si kweli kwamba anatumia Magarasa. Amesajili watu Kama Lukaku, Achraf Hakimi, Barella, Eriksen, Vidal, Godin etc wote hawa wapo regarded kama mastaa.
Na Abramovich pia amejitahidi sana kuleta mpira unaovutia Chelsea ila kila kocha wa ushambuliaji anazingua Chelsea kuanzia kina Scolari miaka hio mpaka sarri na Lampard, makocha walioipa Ubingwa Chelsea Uefa ni Di Matteo na Tuchel, ligi wenye Mafanikio ni Mou na Conte, wote hawa ni watu wanaoprioritize defense kwanza kabla ya ushambuliaji, na Ndio DNA ya Chelsea miaka na Miaka ukabaji ndio eneo ambalo Chelsea wanajivuania Kuanzia Makelele Hadi Kante.
Hivyo Mkuu DNA ni muhimu ni vyema kuangalia Strength zetu zipo wapi na aje Mtu kutokana na uwezo wetu.
Ole hajafeli kurudisha DNA Ya man Utd, tuna wachezaji Kila idara ambao wana hadhi ya Kuchezea Man utd, Mseme kwa mambo yote ila Rebuild yake ni Nzuri.Sikubalini nawe kuwa Conte amespend sana akasababisha madeni makubwa akiwa Inter, wachezaji walionunuliwa kwa hela nyingi ni Lukaku £75m ,Barela Hakimi £36m na wamewauza kwa faida kubwa baada ya miaka 2 tu Lukaku £97m Hakimi £51m ,valuation ya Barella kwa sasa si chini ya £60m wachezaji wengi walikuwa wa bei chee Vidal,Sanchez,Kolarov,Godin walikuwa free agents huwezi linganisha na wachezaji walionunuliwa na United kipindi hicho .Wakati OGS anapewa kazi ulituambia anarudisha DNA ya United lakini its almost miaka 4 amefeli .I think United need changes from the management na wanahitaji kocha ambaye anaweza kuwaeleza ukweli
Lakini Matokeo walikuwa wanapata na hata kufika mbali champions league kila msimu,sisi tumeshindwa Hilo...Pep aliiharibu Buyern ndio majuzi tu imerudi kwenye ile style yake.
I think UNITED DNA is WINNING SPIRIT na mbayo siioni sidhani kama DNA ya UNITED ni kununua wachezaji wa miaka 34/36 kitu ambacho makocha waliomtangulia walikifanya wakatukanwa kuna some players hawako comfotable na OGS but ni ngumu kuyasikia haya sababu OGS ni united legend na washkaji zake wake (Neville,Scholes,Rio) wana influence kubwa kwenye media kubwa za UK,i think leo umeanza kusikia baadhi ya issue kuhusu Bailly,Lingard,VDBOle hajafeli kurudisha DNA Ya man Utd, tuna wachezaji Kila idara ambao wana hadhi ya Kuchezea Man utd, Mseme kwa mambo yote ila Rebuild yake ni Nzuri.
Kuhusu Conte huu usajili wake wa mwanzo inter
-2019/2020 katumia €199m
-2020/2021 katumia €108Inter Milan - Transfers 19/20
Transfers: Overview of all signed and sold players of club Inter for the current season.www.transfermarkt.com
Ukumbuke wamiliki wa Inter wamepigwa Pini na serikali ya China kuspend hela Nje ya nchi Yao hivyo ilibidi hela za usajili zitoke ndani ya Club. Na inter si timu tajiri yenye uwezo wa kuspend na kutoa almost Euro milioni 300 ndani ya misimu miwili, hivyo ikaingia deni kubwa sana.
Ndani ya miezi 18 inabidi Inter wa raise Euro milioni 360 ama itabidi club iuzwe, situation yao si tofauti na Barcelona kivile.
Na hizo data ni usajili tu bado mishahara mikubwa
bibi ameongea maneno mazito kuliko hata simulizi za kila siku za gary neville, paul scholes, hargreaves.Daemusin msikilize Huyu bibi aliongea maneno hayo Muda sana na haya mambo yanatokea
Mimi nimefurahi halafu ana familia ina mtegemea anategemea kibarua hiko aweze kuendesha familia yake tuwe na huruma
Ole mitano tena.
Solskjær has been given three games to save his job as #mufc manager. United executives are keen to give themselves time to decide Solskjær's fate but a change may be made before the international break #mulive
MIMI NACHUKUA MANENO YAKE YA KATIKATI ANAKWAMBIA OLE WILL NEVER WIN ANYTHINGbibi ameongea maneno mazito kuliko hata simulizi za kila siku za gary neville, paul scholes, hargreaves.
bibi ana uelewa mkubwa sana wa soka.
amenishangaza sana
respect kwake