permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 12,328
- 15,036
Sawa ni kocha mzuri, alivyorudi kwa mara ya pili alikwama wapi?Tatizo lenu mnafata sana mkumbo yani unasema Zidane alikuwa na kismati, UCL 3 kwa misimu mitatu mfululizo unaita kismati!? Mnaangalia mpira gani? Kwahiyo pale Madrid wachezaji walikuwa wanajichezea tu bila mbinu za kocha sasa kwanini wachezaji wa United wameshindwa tu kujichezea kuifunga hata Leicester City kama mpira ni kukusanya wachezaji tu na kujichezea.
Kwa sasa United ina wachezaji ambao wakipata kocha mzuri timu itasonga mbele ,ukileta kocha ambae ni yes man (like OGS) hiyo rebuild itachukua hata miaka 20.Wachezaji wengi viwango vyao vimebaki pale pale sababu kocha anayewafundisha hakuwa na ubavu wa kuwaeleza ukweli (Shaw,Bissaka,Maguire,Martial,Pogba,Rashford,McTominay ) wanahitaji kocha wa kuwa-pushIssue si mafanikio bali rebuild itakayohitajika pale mambo yatakapo paranganyika. LVG, Mou, Ole, kila kocha ana style yake na kila kocha amesajili wachezaji wake sababu mfumo wa aliyemtangulia ni tofauti na wake. Conte akija nae ana wachezaji wake tofauti, na wachezaji wake Makocha wengine hawawezi kuwatumia, mfano Chelsea Alimuacha Victor Moses kama Key player na Marcus Alonso, nani Duniani anaweza Kushinda Epl na Victor Moses kama Key player? Ilibidi kufanyike Rebuild kubwa wakati wa lampard mpaka kuja kuwa na mafanikio ya Tuchel.
Timu zinazoendeshwa vizuri wanakuwa na makocha wao na kocha mpya akija Rebuild si kubwa sana, Angalia Bayern nadra sana kuona Core ya Timu imebadilika ila makocha wanabadilika, Barca ya Zamani, Juve, Man City etc
ila wakati chelsea wanatafuta kocha waliangalia wachezaji wao na kutafuta nani ana connection nzuri zaid, Tuchel amemfundisha silva, Rudigger german connection, havertz na werner wajerumani. toka wanatafuta kocha tetesi tayari walikuwa wanataka kocha ambaye atanusuru investment zao, hivyo ilibidi kocha awe angalau anajua kijerumaniKwa sasa United ina wachezaji ambao wakipata kocha mzuri timu itasonga mbele ,ukileta kocha ambae ni yes man (like OGS) hiyo rebuild itachukua hata miaka 20.Wachezaji wengi viwango vyao vimebaki pale pale sababu kocha anayewafundisha hakuwa na ubavu wa kuwaeleza ukweli (Shaw,Bissaka,Maguire,Martial,Pogba,Rashford,McTominay ) wanahitaji kocha wa kuwa-push
Lampard alikuwa anatumia mfumo tofauti na Tuchel kaja na mfumo tofauti lakini progress inaonekana
huu mtandao wa theathletic umeshapata njia ya kubypass malipo?source halisi hapa ila ni paid article
Jaribu hii app mkuuhuu mtandao wa theathletic umeshapata njia ya kubypass malipo?
kuna solution moja niliwahi kuipata github lakini tokea mwaka jana imekuwa haifanyi kazi.
Spurs unamfungaje wachezaji hawamtaki kochaSpurs anapigwa hii game, Nuno na yeye mambo yamemkalia pabaya huko Spurs.
Pep aliiharibu Buyern ndio majuzi tu imerudi kwenye ile style yake.Aisee hii timu hii,team rebuild imekuwa ni kazi Sana kwetu,kujenga timu ni kazi sanaaa huwa ndo Mana kila siku nawapongeza Sana Bayern Munich wale jamaa wanajua wanachokifanya Tena ni kwa miaka mingi Sana...
Ahahha kufek sio kuzurwengine tunakuvumilia tu na si kwamba hatufahamu ya kwamba hizi post umechukua sehemu bila ya kumtaja mmiliki halali.
wewe ni mshabiki wa liverpool unayejivika vazi la ushetani mwekundu.
naanza na comment hii, kikubwa ulichokifanya ni kuondoa you na kuweka we.
vipi niendelee?
View attachment 1987001
Afanye cha maana kwani anacheza peke yake uwanjani.Timu nzima imelemewa wewe unamwona ronaldo tu.Man hakua na muinganiko wowote ndo maana hakuna move ya maana waliyoifanya sasa huyo ronaldo ataonekanaje.Mkuuu nimekuambia uwe unaangalia Ronaldo akicheza kwa jicho la tatu.. Ronaldo ni mzigo kwenye team.. tena mzigo mkubwa.. kama jana amefanya nn cha maana... Ronaldo games zake n za Norwich City.. Newcastle City.. Burnley.. etc
ila wakati chelsea wanatafuta kocha waliangalia wachezaji wao na kutafuta nani ana connection nzuri zaid, Tuchel amemfundisha silva, Rudigger german connection, havertz na werner wajerumani. toka wanatafuta kocha tetesi tayari walikuwa wanataka kocha ambaye atanusuru investment zao, hivyo ilibidi kocha awe angalau anajua kijerumani
source halisi hapa ila ni paid articleChelsea's shortlist of German-speaking managers revealed if Lampard is sacked
CHELSEA are reportedly compiling a shortlist of German-speaking managers should Frank Lampard leave Stamford Bridge. The Blues boss saw pressure ramped up last night after a 2-0 defeat at Leicester…www.thesun.co.uk
Why Chelsea’s next manager is likely to speak German
It is understood Chelsea are keen for their next manager to be a German speaker, with clear tactical philosophy and to get best of signingstheathletic.com
nagelsmann alikuwa pia kwenye Shortlist ila sababu Bayern walikuwa na mazungumzo nae hakuja.
Pep aliiharibu Buyern ndio majuzi tu imerudi kwenye ile style yake.
Habari usizopenda kusikiaHabari njema sana hizi.
View attachment 1987209
Mimi nimefurahi halafu ana familia ina mtegemea anategemea kibarua hiko aweze kuendesha familia yake tuwe na huruma
Buyern kuchukuwa ubingwa wa Ujerumani siyo mafanikio ya kueleza hadharani, alikuta timu ambayo imetoka kubeba vikombe vyote vya Ulaya, UEFA hakufanya lolote.Aliharibu lakini alichukua ubingwa misimu yote aliyofundisha
Conte pia amespend sana Inter mpaka club ina deni kubwa sana.So now sababu ni lugha na sio mfumo wa kocha ?
Conte alichukua ubingwa Inter na wachezaji walionekana magalasa hapa United (Young,Darmian,Sanchez,Lukaku) Perisic
Roman yupo aggresive anachoangalia ni perfomance kama usipo-deliver anakufukuza regardleas atakulipa kiasi gani
Huyu kufukuzwa labda timu ishuke daraja.Habari njema sana hizi.
View attachment 1987209