Rooney's 2nd equaliser
![]()
![]()
Kwenye soka hakuna timu isiyobebwa,tatizo wengine hawabebeki na watu wamekariri kuwa Man United wanabebwa ,mfano Chelsea amebebwa game 2 ambazo zote ilibidi afungwe lakini hakuna mtu ambaye anazungumzia hiloUnited siipendi ila wanaosoma United kabebwa Penalt maybe watizame vizuri ujinga ni wa Lloris kipa wa Totenham angetulia alipo United wasingepata Penalt ukiitizama miguu wa nyuma wa welbeck aliugusa na gloves zake hakupata mpira.
United siipendi ila wanaosoma United kabebwa Penalt maybe watizame vizuri ujinga ni wa Lloris kipa wa Totenham angetulia alipo United wasingepata Penalt ukiitizama miguu wa nyuma wa welbeck aliugusa na gloves zake hakupata mpira.
hehehehehe......!
View attachment 124270
....Jamani ee, I think it's the best time to say Goodbye sasa
maana #Chelsea na #ManCity ndio haooo....nyie endeleeni kukalia "kuti" huko
nafasi ta Nane!
EVERTONUNITED WAKUBWA NYIE!