Kocha tatizo nyie mashabiki wa Manu, kama hamuamini muacheni ole hadi mech totemuone aibu mtakayopata.Wiki ijayo msiposhinda mnaingia below 10 mark mi words
Saiv sioni timu ya kuifunga kwa ile beki ya shaw na maguire yaani mech zote za vichapo na magoli humkosi shaw na maguire hapa maneno ya muorinho kwa shaw yanaishi
Yani Sasa hivi timu yetu ni matope haswaaa,hamna kitu Yani leo hii ndo Mara yangu ya Kwanza kuangalia mechi ya man u live kabisa,sijui kwann Leo imeniangukia hovyo hivi...
Yani Sasa hivi timu yetu ni matope haswaaa,hamna kitu Yani leo hii ndo Mara yangu ya Kwanza kuangalia mechi ya man u live kabisa,sijui kwann Leo imeniangukia hovyo hivi...
Liverpool wametuheshimu sana baada ya kutupiga mkono walikuwa wanauwezo wa kutuchomoa kwenye kale ka bus uchwara tulikoweka na kutuchapa hata 8 baada ya pogba kupewa umeme kifupi hamna kocha hapa
Kadi ya pogba siwezi kumlaumu kocha bado anabeba lawama kwa ile sub ya kipuuzi ushaliwa nne kipind cha kwanza unataka nn kwa mtu alikuzidi kila kitu?
Hii timu inatia aibu sana, kuanzia leo sitashabikia hii timu mpaka kocha aondoke mana haiwezekani una kikosi kama hiki na bado hueleweki unacheza nn, so mashabiki wa man u kwaherini mpk huyu mbwa wa double pivot akiondoka.
Solskjær asked if he’s the right man for the mufc job: “I have come too far, we have come too far as a group and we are too close to give up now." [bbc]