Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu uwe unakubali kushindwa mzee wakati mwingine, kwani Carabao tumeanza kucheza mwaka huu, au Amad alikuja tukiwa tumeshatolewa?
Msimu uliopita Amad alikuja January hope tulikuwa tumeshatolewa na Man City kwenye kombe la Carabao.

Msimu huu wakati tunacheza Carabao Cup Amad Diallo alikuwa na injury mkuu.
 
Huyu Big head hapaswi kurudi sec half hata kea bahati mbaya amechoka akili na mwili.
 
Back
Top Bottom