Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Afadhali umesema kama ambavyo huwa namuona huyu jamaa. Hadi anafungisha hilo lilikuwa kosa la pili anafanya.
Kwani tulimpa Bailey mkataba mpya wa nini?
wapumbavu wenziwe watamtetea kwa injury, harry ni kawaida yake kufanya blunder pindi anapokuwa kwenye presha.
leicester city wametuibia mchana kweupe
 
brother, hatuna kisingizio wala yeye mwenyewe hatakiwi kuwa na kisingizio.
hii ni mechi ya nne tunacheza na leicester city tunaingia uwanjani tukiwa uchi, angalia timu muda wote timu ipo chini eti tunawaogopa hawa wajinga.
hatuwezi hata kuwapa presha wachezaji wao, yule amartey anacontrol mpira anavotaka bila ya kughasiwa.

inaumiza sana
Hii timu mpaka sasa pamoja na tatizo kuu la mwalimu la Laissez faire attitude.

Kuna poor coaching kwenye hii timu huenda hawa jamaa huwa wanaishia kufanya mazoezi ya kukata upepo tu.
 
Captain Harry Maguire anawapa dole

53228165-A35D-4D03-B70B-FEAC5CFCA3C1.jpeg
 
Naona Leicester wanakabia juu kabisa hii inafanya mabeki wetu kufanya makosa mengi sana, naona dalili zote za kupoteza tena game
ishu si kupata ushindi, kitakwimu za ushindi Ole ni kocha bora.
njia tunazopatia ushindi haziridhishi.

nimewaangalia liverpool kwa dakika 10 mchana wa leo, nimeona aibu kwa jinsi wanavyocheza vizuri.
 
Back
Top Bottom