D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,021
wapumbavu wenziwe watamtetea kwa injury, harry ni kawaida yake kufanya blunder pindi anapokuwa kwenye presha.Afadhali umesema kama ambavyo huwa namuona huyu jamaa. Hadi anafungisha hilo lilikuwa kosa la pili anafanya.
Kwani tulimpa Bailey mkataba mpya wa nini?
leicester city wametuibia mchana kweupe


