Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama sio majeruhi kama watangazaji wanavyojaribu kuhisi,martial hakutakiwa kutoka ili sancho aingie.
Hata Cavan sioni ni kwanini atolewe timum ikiwa kwenye rythm nzuri kama ile.
Anyway,Ole ndie anajua kwanini kafanya alichofanya.
Unataka awakasirishe kina Ronaldo hawezi fanya hivo.
 
Siku huyu mmasai wa longido akianza na 4-3-3 ndio cku atakayouona ufalme wa Mungu.
Tukicheza 433 ndo tutafungwa mpaka basi...sasa kama wakabaji Scott na Fred wapo uwanjani..kwanini tushindwe kutumia RW LW na Fernandes kucreate nafasi za kufunga..

Kimsingi with Ole shida sio fomesheni...We are poorly trained team

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Double pivot ipi mkuu???? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nadhani ana maanisha ya McFred mkuu.
Kusema kweli jinsi Ole anavyoitetea hii partnership kwa kumnyima dVb nafasi ya kucheza ni kituko sana.
Hawana ubunifu wowote wa kulainisha mipira kwenda mbele. Hata Dacoure amefanya forwrd passes nzuri nyingi kuliko hao wajinga.
Cha kushangaza Pogba anaweza kucheza na Mctomminay kwenye double pivot ila anahofia uwezo wa DvB kwenye kuzuia kuliko Pogba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…