Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hatuna KOCHAAAA.

Tuna wachezaji Tishio kabisa, Tishio namaanisha mchezaji mmoja anaweza kuwa Tishio kwa Mabeki 2, so tukiwa pungufu 10 bado kuna wachezaji wanaweza kufanya tuwe 11, Weka Greenwood, na Varane alafu Fanya pressing ya nguvu ili kutowapa wapinzani chance ya kugain confidence.

Ole KILAZA. Ifike mahali tumfukuze huyu Maasai akajipake mafuta ya Ng'ombe na kulala kwenye ngozi.
 
Tuliwahi cheza pungufu na spurs tukala mkono

Jana tumecheza pungufu na yb tukala mbili


Nasubiri tu iyo siku tutakayocheza pungufu na liva au city lahaula la kwata nikishaona iyo red tu naenda kulala maana najua huko nyuma nimeacha dhahama la dunia..
 
Acha dharau kwa Wamasai
 
Mna timu tishio kivip? Kwa kuwafunga wachovu au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…