NakaziaUkiweza kuzuia hisia zako za kishabiki, au ukiwa mtu usiyependa vya bwarere, ni rahisi sana kuona mapungufu halisi ya timu yetu. OLE is unfit for that position.
Mkuu kuna mawili either haumpendi OGS au haumfatilii vizur, tofaut yake na makocha wengine ipo sehem moja yeye huwa anafosi apate chaguo lake la kwanza, na kama hawez lipata dirisha hilo yupo teyar asubir hata msimu mzima (sasa hii ina mazur na mabaya yake kwa mfano enzi za Morinyo na LVG walikuwa wakikosa chaguo la kwanza wanasajili yeyote ili mradi wasajili tu, ndio tukaletewa kina Fred hapo) chaguo lake la kwanza kwa namba 9 ni Halaand na sio nje ya hapo, hope msimu ujao atampata, na chaguo lake kwa namba 6 ni Rice na yeye msimu huu tumeshindwa kumchukua sababu ya bei, ila msimu ujao atakuja tu, na kuhus benchi kuparanganyika baada ya goli la 2 hio sio kwel mkuu, kabla hata ya hilo goli OGS alikuwa anatoa maelekezo kwa wachezaj woteMimi sio kwamba napinga uwezo wa ronaldo, na question credibity & capacity ya bench letu la ufundi. I adore & hail Ronaldo na ninaamini maamuzi ya kumchukua ni makubwa kuliko maamuzi yote aliyofanya ole toka awe cocha wa man utd.
ugomvi wangu na ole ni huu. kwa nini hakumpursue? au basi kwa nini hajapursue mchezaji mwenye caliber yake? kwa nini every time ole anasign mchezaji ambaye ni target ya ufungaji inakuwa kama kukurupuka ?
Kumbuka ole alipofika alimuondoa lukaku kwa madai kwamba hataendana na uchezaji anaotaka kuuformulate, kwamba hatuitaji lone number 9. immedietely baada ya apo akamsajiri kwa mkopo ighalo for the same purpose, then akamsajiri cavan for the same purpose, na sasa amemsajiri Ronaldo for the same purpose.
na hawa wote anawasajiri on a temporary basis? this ole is overly conflicting himself na cocha wa namna hiyo hafai ndio maana timu yetu haina consistency katika uchezaji.
Jana Ronaldo ndio kaprove kwamba Ole ni Tatizo, baada ya jamaa kusawazisha benchi lote la ufundi liliparanganyika, wali scrumble pale benchi kwa namna inayoonyesha hamna mtu anayeamiwa kutoa maelekezo ya kiungozi in time of trouble, then ronaldo akascore pakatulia.
Wakati anamsajiri Ighalo, kwa mkataba wa mwaka mmoja, on deadline day, Haaland ndio lilikuwa Chaguo lake la kwanza?Mkuu kuna mawili either haumpendi OGS au haumfatilii vizur, tofaut yake na makocha wengine ipo sehem moja yeye huwa anafosi apate chaguo lake la kwanza, na kama hawez lipata dirisha hilo yupo teyar asubir hata msimu mzima (sasa hii ina mazur na mabaya yake kwa mfano enzi za Morinyo na LVG walikuwa wakikosa chaguo la kwanza wanasajili yeyote ili mradi wasajili tu, ndio tukaletewa kina Fred hapo) chaguo lake la kwanza kwa namba 9 ni Halaand na sio nje ya hapo, hope msimu ujao atampata, na chaguo lake kwa namba 6 ni Rice na yeye msimu huu tumeshindwa kumchukua sababu ya bei, ila msimu ujao atakuja tu, na kuhus benchi kuparanganyika baada ya goli la 2 hio sio kwel mkuu, kabla hata ya hilo goli OGS alikuwa anatoa maelekezo kwa wachezaj wote
Ronaldo = Haaland 1000.Wakati anamsajiri Ighalo, kwa mkataba wa mwaka mmoja, on deadline day, Haaland ndio lilikuwa Chaguo lake la kwanza?
Wakati anamsajiri Cavan, kwa mkataba wa mwaka mmoja, on deadline day, Haaland ndio lilikuwa chaguo lake la kwanza?
Kamsajiri Lonardo, kwa mkataba wa miaka miwili, on deadline day, Bado Haaland ndio chaguo lake tu?
Yaani aliona bora amuuze Lukaku, amchukue ighalo wakati anamvutia speed Haaland?? kweli?
Angalia hiyo mechi marudio huoni nini kilitokea benchini tulipofungwa? labda kama hautaki kusoma body languages mkuu.
hahahaha sasa hapo utasema OLE target yake ni Haaland?Ronaldo = Haaland 1000.
Ighalo na Cavan walisajiliwa kama Back up ya Martial, na ndio maana nakwambia hebu fatilia usajili wa Ighalo, Cavani na Ronaldo wote una 7bu zake, tena za msingi, Ighalo alikuwa Back up, Cavani tulimchukua baada ya kumkosa Halaand, Cr7 kasajiliwa ili asije akaenda kwa mahasimu wetu Man City, maana ilibaki kidogo aende ndio OGS na Ferguson na malegend wengine wakaingilia kati, narudia kukushauli fatilia mpira na ifatilie Man u vizur kuna vingi sana hauvijui kuhus TimuWakati anamsajiri Ighalo, kwa mkataba wa mwaka mmoja, on deadline day, Haaland ndio lilikuwa Chaguo lake la kwanza?
Wakati anamsajiri Cavan, kwa mkataba wa mwaka mmoja, on deadline day, Haaland ndio lilikuwa chaguo lake la kwanza?
Kamsajiri Lonardo, kwa mkataba wa miaka miwili, on deadline day, Bado Haaland ndio chaguo lake tu?
Yaani aliona bora amuuze Lukaku, amchukue ighalo wakati anamvutia speed Haaland?? kweli?
Angalia hiyo mechi marudio huoni nini kilitokea benchini tulipofungwa? labda kama hautaki kusoma body languages mkuu.
Mkuu sijaelewa unamaana gani, kwamba CR7 tumepigwa auuu? Be specific.hahahaha sasa hapo utasema OLE target yake ni Haaland?
Ukiangalia mpunga anaovuta lonardo na uliotumika kumsajiri, angeweza kuwalipa jamaa 70M Pounds na akamlipa mshahara wa 300k Pounds kwa wiki kwa miaka miwili.
OLE Hajui anataka nini.
Ndio maana nakwambia haujui vingi sasa watu walipeleka mpaka 130 kwa Halaand na wakakataliwa, na huyo Cr7 tumemchukua kwa 12 tu, na kibiashara kwa jezi alizouza teyar kashaingiza zaid ya 180 huko, hiko kipengele cha 70 kwa Halaand kinaanza kuwa active kuanzia Dirisha dogo la Januaryhahahaha sasa hapo utasema OLE target yake ni Haaland?
Ukiangalia mpunga anaovuta lonardo na uliotumika kumsajiri, angeweza kuwalipa jamaa 70M Pounds na akamlipa mshahara wa 300k Pounds kwa wiki kwa miaka miwili.
OLE Hajui anataka nini.
waoh waoh waoh.Ighalo na Cavan walisajiliwa kama Back up ya Martial, na ndio maana nakwambia hebu fatilia usajili wa Ighalo, Cavani na Ronaldo wote una 7bu zake, tena za msingi, Ighalo alikuwa Back up, Cavani tulimchukua baada ya kumkosa Halaand, Cr7 kasajiliwa ili asije akaenda kwa mahasimu wetu Man City, maana ilibaki kidogo aende ndio OGS na Ferguson na malegend wengine wakaingilia kati, narudia kukushauli fatilia mpira na ifatilie Man u vizur kuna vingi sana hauvijui kuhus Timu
So January tunamfuata Haaland?Ndio maana nakwambia haujui vingi sasa watu walipeleka mpaka 130 kwa Halaand na wakakataliwa, na huyo Cr7 tumemchukua kwa 12 tu, na kibiashara kwa jezi alizouza teyar kashaingiza zaid ya 180 huko, hiko kipengele cha 70 kwa Halaand kinaanza kuwa active kuanzia Dirisha dogo la January
Hata kama tumesajili mchezaji ambaye hakuwa kwenye mipango ya kocha lkn c ana deliver? Kama hujui ni kwamba huyu huyu cr7 aliyesajiliwa bila ya kuwa kwenye mipango ya Ole ndiyo huyo huyo aliyesajiliwa bila ya kuwa kwenye mipango ya Ferguson.waoh waoh waoh.
Man U imemsajiri Lonardo ili asiende Man City? ili iweje? Unamaanisha focus ya Man U ni kwenye local competition tuu? Au this lonardo amekuwa anacheza Uchina all this while?
yes indeedHata kama tumesajili mchezaji ambaye hakuwa kwenye mipango ya kocha lkn c ana deliver? Kama hujui ni kwamba huyu huyu cr7 aliyesajiliwa bila ya kuwa kwenye mipango ya Ole ndiyo huyo huyo aliyesajiliwa bila ya kuwa kwenye mipango ya Ferguson.
Kaangalie kwenye ligi zote europe mwenye age ya Rashford ambaye angalau analingana na Rashford au mwenye brain zaidi yake?Rashford auzwe tupate pesa ya kyongeza washambuliaji brain
Rashford anacheza role tofauti na CavanAnaweza asiuzwe ila tu asipewe airtime kubwa mana kuna Cavani, wacha wanaojua wacheze, haya matoto yenye masihara yakae yajifunze au yaendelee kutema mate yakiwa benchi.
Jamaa ana kaza kichwa sana, na anaonekana hafatilii mpira, maana hajui mambo mengi halaf analawama nying ambazo hazina mashikoHata kama tumesajili mchezaji ambaye hakuwa kwenye mipango ya kocha lkn c ana deliver? Kama hujui ni kwamba huyu huyu cr7 aliyesajiliwa bila ya kuwa kwenye mipango ya Ole ndiyo huyo huyo aliyesajiliwa bila ya kuwa kwenye mipango ya Ferguson.
Hyo ndio plan, but kwa sasa Timu inahitaj namba 6, back up namba 2 (kama Dalot asipo perform vzur) na namba 9 tunaweza subir hata mpka Dirisha kubwa la msimu ujao bila shaka maana Cr7, Cavani wapo paleSo January tunamfuata Haaland?