Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anaweza asiuzwe ila tu asipewe airtime kubwa mana kuna Cavani, wacha wanaojua wacheze, haya matoto yenye masihara yakae yajifunze au yaendelee kutema mate yakiwa benchi.
😂😂😂😂😂 Yaendelee kutema matee daah
 
Messi atazeeka haraka hatafikia umri wa CR7 akiwa fit vile.
CR7 atfunga 20+ goals hata akiwa 40
 
mkuu hawa watu wawili sio wa kuwalinganisha hvyo
Kwa umri tunaweza kuwalinganisha ndg, kwa uchezaji sawa, kila mmoja anacheza style tofauti, ila kwenye kustaafu Messi atawahi kuliko Ronaldo
Messi anategemea talent zaidi kucheza na kuscore, Messi is a natural player and goal scorer
Ronaldo ni mtu wa nidhamu na mazoezi, hapo ndipo wanapottofautiana - Mechanic player, anategemea mazoezi ili apate matokeo mazuri na pia ana nidhamu ya mazoezi na ndio siri ya mafanikio yake. Watu wa naman hii wanaweza kucheza hata kwenye umri ule wa uzee yaani over 40
 
100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…